Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Shida ipo kubwa sana, unaharibu ukuta na kuumiza macho bila sababu.Mbona unapangia watu maisha, kwani nikifunga TV ya nchi kumi ukutani chumbani kwangu kuna shida!!
Hata bandari zenu nawapangia mimi siku nikiamua nazifunga.Kinacho nishangaza boss la dp unapangia wqti maisha
Wanapagawisha sana hawa viumbe,ila wanatupa spirit ya kipambana bila wao kujuaUkisikiliza maneno ya mitandaoni unaweza kufa kwa msongo wa mawazo na sonona.
Hahahaa, nataka niwatawale mazima.
Ukuta kajenga nani? Kwani simu haziumizi macho?Shida ipo kubwa sana, unaharibu ukuta na kuumiza macho bila sababu.
Pambana uwe kama mimi.Wanapagawisha sana hawa viumbe,ila wanatupa spirit ya kipambana bila wao kujua
Watekaji wafanye kazi yaohaya mimi nimefunga tv ya chogo na nimetoboa kuta kabisa ili kukidhi haja yakuwa ya chogo
Tecno inaumiza machoUkuta kajenga nani? Kwani simu haziumizi macho?
acha ushamba!Watekaji wafanye kazi yao
Njoo nikupe makobazi ya bure na tende toka uarabuni.Unaweza kuta anaeandika uzi huu yupo kitandani amejilaza kwenye godoro lina matobo matobo aliloachiwa na babu yake.
Alafu tumboni yanacheza maharage mawili aliokula jana na ugali aliocha kiporo juzi.
Maisha yaendelee
Uarabuni hakuna viminiWadau wa vimini je..?