Unapata wapi ujasiri wa kufunga ukutani TV ya inch chini ya 40?

Unapata wapi ujasiri wa kufunga ukutani TV ya inch chini ya 40?

Mambo ya ajabu haya, kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Kama unawaonea huruma wanunulie hizo 55" basi, otherwise hayo sio mambo ya kupangia watu.
 
cheki chombo hiko
20241008_134624.jpg
20241008_134624.jpg
 
Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.

Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
KUFUNGA TV UKUTANI NI UMASKINI TV HUKAA JUU YA SHOWCASE
 
Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.

Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Kwa hio hizi monitor zetu tusizifunge ukutani?
 
Back
Top Bottom