Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Umekaribishwa ila ishia bandariniHahahaa, nataka niwatawale mazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekaribishwa ila ishia bandariniHahahaa, nataka niwatawale mazima.
Nampango wa kununua jengo la bunge lenu nifugie kuku.Umekaribishwa ila ishia bandarini
Watakwambia umefunga kishikwambiMbona unapangia watu maisha, kwani nikifunga TV ya nchi kumi ukutani chumbani kwangu kuna shida!!
Na kwanini uwe na chumba kidogo kwani wewe panya?Ukubwa wa tv unaendena na ukubwa wa sebule.sasa wewe unataka afunge 43" kwenye kachumba kadogo?
Naifunga jikoni mechi muhimu zisinipite...Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Vijumba vya watanzania walio wengi huvijui?Na kwanini uwe na chumba kidogo kwani wewe panya?
HAhaha, hii umepatiaUkisikiliza maneno ya mitandaoni unaweza kufa kwa msongo wa mawazo na sonona.
akisikia honi getini anaruka kama kapigwa shotiHaha alafu kaeka miguu miwili kwenye egemeo la sofa utafikir ni lake
Projector!??Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Jikoni weka inch 55Naifunga jikoni mechi muhimu zisinipite...
No!Nampango wa kununua jengo la bunge lenu nifugie kuku.
KUFUNGA TV UKUTANI NI UMASKINI TV HUKAA JUU YA SHOWCASETv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Kwa hio hizi monitor zetu tusizifunge ukutani?Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Mbona kama Lodge/G.House 😀