Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Zinafungwa ili watoto wasichezee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka msuli,tende,tender, kama nikipata na kitunga....itapendeza zaidiTv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Kwanini usiitupe kama watoto wanachezea?Zinafungwa ili watoto wasichezee
Kwahiyo hiyo Tecno itakuwa sawa na TV yangu 14" nikifunga ukutani?!Tecno inaumiza macho
Nimegundua Watanzania wengi hawajui kama Ukubwa wa TV unaendana na ukubwa wa sebule pamoja na yote kuna umbali wa kukaa ambao nao unaendana na ukubwa wa TVUkubwa wa tv unaendena na ukubwa wa sebule.sasa wewe unataka afunge 43" kwenye kachumba kadogo?
Kabisa.Kwahiyo hiyo Tecno itakuwa sawa na TV yangu 14" nikifunga ukutani?!
Kwa chumba gani unafunga hiyo tv ya inch 43 au unaona ni ufahari wakati unauwa machoTv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Mara nyingi wa design hii huwa wamepewa hifadhi aidha na ndugu ama shemeji. Mida hii anatamba baada ya wenyewe nyumba kutoka. Keshaweka bundle lake la jero, ana kazi ya kuandika uharo mixer kumzengea beki tatu.Unaweza kuta anaeandika uzi huu yupo kitandani amejilaza kwenye godoro lina matobo matobo aliloachiwa na babu yake.
Alafu tumboni yanacheza maharage mawili aliokula jana na ugali alioacha kiporo juzi.
Maisha yaendelee
Haha alafu kaeka miguu miwili kwenye egemeo la sofa utafikir ni lakeMara nyingi wa design hii huwa wamepewa hifadhi aidha na ndugu ama shemeji. Mida hii anatamba baada ya wenyewe nyumba kutoka. Keshaweka bundle lake la jero, ana kazi ya kuandika uharo mixer kumzengea beki tatu.
Tafuta hela acha visingizio.Kwa chumba gani unafunga hiyo tv ya inch 43 au unaona ni ufahari wakati unauwa macho
Bosi la DPW unaona tv ndio kitu cha maana?Tv zenye hadhi ya kukaa ukutani kwasasa ni angalau inch 43 nakuendelea ila 55-75 zinavutia zaidi. Tusiharibu kuta bila sababu za msingi.
Haya wale wadau wa makobazi, misuli na tende nimesha fungua duka Magomeni mapipa njoo kwa Boss la DP World upate baraka.
Soma vizuri uzi kenge mweusi wewe.Bosi la DPW unaona tv ndio kitu cha maana?
Bosi uchwara wewe.