Unapataje hesabu ya kumlipa fundi tiles?

Fundi inaonyesha wewe ni fundi wa mitaa ile kule baharini.. Hapo tu nadhanj unepitiwa ila najua ulitaka kutuwekea bei in terms of Dollar.

Mimi sikuwezi kwakweli...
Hiyo ni bei halisi mkuu na mimi siyo fundi. Hiyo ni materials na ufundi ila kama ufundi peke yake huwa ni 5000/- per sqm.
 
Hizo tiles za juu zisimamishe kama za chini.Pia hakikisha fundi anajua kuweka level
 
Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Tena muongozo uliotukuka kabisa, naendelea kujifunza mengi kwenye finishing siyo mchezo, ila mafundi wengi ni madalali, anachukua kazi kwa mbwembwe kwamba anajua kupiga tiles kumbe hamna kitu, matokeo yake analeta fundi tiles na yeye anabaki kuzugazuga tu.
 
5,000 kwa Square metre ni bei standard kwa mtaani.Ikizidi sana ni 6,000.Zaidi ya hapo atakuwa ni dalali anayetaka kuuza kazi
Umesema sahihi mkuu mwambie aende kwenye magorofa makubwa wachina wanauza sqm mpk 4000 lkn anakufanyia level yeye kwahio km ulivyosema elfu 5 ni bei standard sana ikizidi elfu 6
 
Hapo mahali ni pagumu sana, pamenishughulikia kisawasawa, hadi sasa bado nina makovu. Kupaua is not a joke
 
sis
sisi tusio mafundi haya maneno yanatutatiza sana.

1. Platers
2.blandering
3. Mkanda
4. Schemming

Mkuu tupe maarifa hapa ni vitu gani hivi?
 
Hapo mahali ni pagumu sana, pamenishughulikia kisawasawa, hadi sasa bado nina makovu. Kupaua is not a joke
Kupaua ilifika mahali nikamchukia fundi. Naona alidesign Paa la gharama wakati mimi ni kamandatu niliyechoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…