Hiyo ni bei halisi mkuu na mimi siyo fundi. Hiyo ni materials na ufundi ila kama ufundi peke yake huwa ni 5000/- per sqm.Fundi inaonyesha wewe ni fundi wa mitaa ile kule baharini.. Hapo tu nadhanj unepitiwa ila najua ulitaka kutuwekea bei in terms of Dollar.
Mimi sikuwezi kwakweli...
Punguza udalali,Mimi siyo fundi Ila kuweka tiles 100 sqm ni 2.5 mpaka 4 mil standard Wala siyo luxury.
Mimi nachangia experience yangu. Sqm 80 za tiles bila millioni angalau 2.5 itakuwa labda za quality ndogo sana. Ukiweza weka wewe mahesabu yako tuone.Punguza udalali,
Hizo tiles za juu zisimamishe kama za chini.Pia hakikisha fundi anajua kuweka levelAsante Philipo, yani nikimaliza tiles nitashusha pumzi kidogo maana nilihamia kwenye nyumba bila tiles huu mwaka wa pili. Lakini tuliishi na wanangu kwa Amani Sana, Jana nimeleta tiles mwanangu mmoja mdogo umri 2+ akauliza baba umeleta keki tule! fungua box tuone humo kuna nini!! kijana wangu umri 5+ akamwambia tiles hizo zimeingia, dah machozi yalinilenga lenga nikajikaza kiume, wanangu nao sasa wakanyage kioo cha tiles namshukuru Mungu Sana.View attachment 2017441
Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
Tena muongozo uliotukuka kabisa, naendelea kujifunza mengi kwenye finishing siyo mchezo, ila mafundi wengi ni madalali, anachukua kazi kwa mbwembwe kwamba anajua kupiga tiles kumbe hamna kitu, matokeo yake analeta fundi tiles na yeye anabaki kuzugazuga tu.Natumae mleta mada ulipata muongozo...
😂😂😂 fundi wa 5000 kwa square meter anaweza kumuwekea level kweliHizo tiles za juu zisimamishe kama za chini.Pia hakikisha fundi anajua kuweka level
Wewe ndio hujielwi mkuu mafundi wanatofautiana viwangoDah! Mungu awabariki sana kwa elimu hii, ndugu zangu, fundi aliniambia eti kila sqm.1 elfu 10,000 nikaona huyu hajielewi, nikamwambia ngoja nikalale kesho kukicha tutaongea.
😂😂😂 fundi wa 5000 kwa square meter anaweza kumuwekea level kweli
Umesema sahihi mkuu mwambie aende kwenye magorofa makubwa wachina wanauza sqm mpk 4000 lkn anakufanyia level yeye kwahio km ulivyosema elfu 5 ni bei standard sana ikizidi elfu 65,000 kwa Square metre ni bei standard kwa mtaani.Ikizidi sana ni 6,000.Zaidi ya hapo atakuwa ni dalali anayetaka kuuza kazi
Bei ya ufundi, siyo tiles.Umesema sahihi mkuu mwambie aende kwenye magorofa makubwa wachina wanauza sqm mpk 4000 lkn anakufanyia level yeye kwahio km ulivyosema elfu 5 ni bei standard sana ikizidi elfu 6
Yani ni kazi kweli, pambana tuMi tiles hapa nimepigiwa hesabu inahitajika kma 4.2 M dah nmechoka japo nakaribia kufika
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ni hesabu za shule ya msingiMimi ngumbalu kabisa nisiyejua hesabu.. napimaje Sqm.. hebu mnirahisishie
Hapo mahali ni pagumu sana, pamenishughulikia kisawasawa, hadi sasa bado nina makovu. Kupaua is not a jokeHapo kwenye bati na mbao ni zoezi ngumu sana kwa sababu pesa inahitajika kwa wakati mmoja, ndio maana wengi wakimaliza kupiga bati wanapiga kapicha mjengo nduki.Humuoni tena site anakuwa katoboka mfukoni na madeni juu.
Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
sisi tusio mafundi haya maneno yanatutatiza sana.Finishing ni tamu kweli kweli, ila inatumbua pesa balaa, kupiga plaster, blandering ya kisasa na decoration zake kwenye ukuta wa tv, decoration za nje kwenye kona zote za nyumba na nguzo zake pamoja na Kufunga mkanda/kiuno na schemming Kwa ndani imetafuna 16m
Kupaua ilifika mahali nikamchukia fundi. Naona alidesign Paa la gharama wakati mimi ni kamandatu niliyechoka.Hapo mahali ni pagumu sana, pamenishughulikia kisawasawa, hadi sasa bado nina makovu. Kupaua is not a joke
the same to me...ulikuwa unapigwaaaaAsante Kayaula Musa, maana kuna fundi alinipa hesabu yenye namba za ajabu, material jumla ni 2,500,000/= kupiga tiles anataka 1,000,000 sikumuelewa.
Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app