Unapenda watoto wako wawe na uwezo gani darasani?

Unapenda watoto wako wawe na uwezo gani darasani?

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Wazazi wengi wanaumia sana kuona watoto wao hawafanyi vizuri darasani, lakini mbona huku mtaani wakali darasani ni vilaza tunakutana pamoja kwenye kutafuta cash, na mara nyingi tunazidiwa na wale vilaza.

Mimi napenda mtoto awe na uwezo wa kati darasani ili awe na muda wa kujifunza vingi kuliko uwezo wa juu sana au chini sana.
 
Sana especially kama mimi baba yao ni mpenda ushindi, kuongoza, mashindano na challenges, uwezo wa darasani sio tu kufaulu bali pia kunamfanya awe competitive na asiwe muoga wa challenges na changamoto. hivyohivyo kwenye maisha halisi.

Mtoto atashindwa kuwa competitive kwenye maisha kama alikuwa anakariri elimu.
 
Ukiona mwanao anatumia muda mwingi kujisomea ili afanye vzuri darasan tambua hana akili hana uwezo wa fikra na hatakuja kupambana na maisha nje ya darasa hata kama ataongoza wenzake ngazi ya shule/chuo

Watu wengi wanaofanya vzuri ktk masomo ni watu dhaifu waoga na hawajiamini ndio maana baada ya kuhitimu elimu zao wakiingia mtaani wanaishia kuwa masikini wa kutupwa kwasabab kitaa hakitak elimu yako inataka maarifa yako...
 
Ukiona mwanao anatumia muda mwingi kujisomea ili afanye vzuri darasan tambua hana akili hana uwezo wa fikra na hatakuja kupambana na maisha nje ya darasa hata kama ataongoza wenzake ngazi ya shule/chuo

Watu wengi wanaofanya vzuri ktk masomo ni watu dhaifu waoga na hawajiamini ndio maana baada ya kuhitimu elimu zao wakiingia mtaani wanaishia kuwa masikini wa kutupwa kwasabab kitaa hakitak elimu yako inataka maarifa yako...
Nadhani tufupishe elimu ya darasani then kitaa elimu iwe ya muda mrefu awe anafanyiwa assessment ama unasemaje
 
Wawe na uwezo..nimeongoza darasani nimeongoza pia kwenye interview so waongoze kote.
 
Mara nyingi Mtu ukiwa kilaza darasani probably na kwenye Maisha unakuwa hivyo
 
Kama una akili una akili TU , hakuna jins unaweza jifelisha ukiona mtoto kafeli jua uwezo mdogo au wastani
 
.
255756536826_status_729a7a630ba042c6b553a73f951ce5b1.jpg
 
Kitu cha msingi sana ni kuwatengenezea watoto mazingira ya kuanza’ kufanya mambo’ mapema. Wabongo tunachelewa sana kuanza kujichanganya.
Biographies za watu wengi mashuhuri na mabingwa kwenye industry zao zinaonesha walianza mapema. Kina Musk n Gates walikuwa wanaprogram wakiwa madogo tu around miaka 12.
List ni ndefu sana.
Sie tunangoja mpaka tumalize chuo ndo tuanze jishughulisha na hobby/profession zetu!
 
Watoto wepi hao au watoto wenu kizazi cha kufatilia bongo fleva tu 24/7

Ova
 
Back
Top Bottom