Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
-toyyibanI am foodie...I lv everything halaal....;-)
ungali kwa mrenda wenye nyanya chungu....
ungali kwa mrenda wenye nyanya chungu....
hapana zinatengeneza....Nyanya chungu kwa wadada nasikia zinaharibu ladha ya ikulu
utelezi ....?huogopi utelezi?
utelezi ....?
ndo unateleza, sasa ukiushika sio kwa kula....!mlenda si unateleza? ha ha ha
Huu mremba jamani natamani ifike siku nionje maana story zake ni nyingi kuwa ni mtamu...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nyanya chungu kwa wadada nasikia zinaharibu ladha ya ikulu
ah! hapa ndizi nyama laini na utumbo kwa mbali,kwa juu parachch na maji bariiid....utanioa bila mahari!!.
Napenda sana
Makukuru mixer githeri! Nikishushia na glass moja ya mtindi basi kesho
hii hapa