Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hakuna watu wanaoteseka na ukosefu wa maji na umeme kama Wanawake, wao ndio wanaohangaika visimani na ndoo kutwa nzima kutafuta maji kwa sababu wewe unayesimama jukwaani na kusema unawapigania umewakatia maji, sielewi hapa ni haki ipi hiyo ya Mwanamke unayoipigania ? Hivi haya mambo huwa mnayaelewa lkn au mnakarilishwa tu?
Raisi wa nchi masikini unakwenda kuji- commit na mambo ya global warming wewe ndiyo kinara na kuanza kutesa Wanawake na watoto ambapo si ajabu hata wewe ni mama wakati walioharibu Dunia hawafuati hayo masharti, huko Glasgow China hakwenda, Urusi hakwenda wala India unajua ni kwa nini?
Raisi wa nchi masikini unakwenda kuji- commit na mambo ya global warming wewe ndiyo kinara na kuanza kutesa Wanawake na watoto ambapo si ajabu hata wewe ni mama wakati walioharibu Dunia hawafuati hayo masharti, huko Glasgow China hakwenda, Urusi hakwenda wala India unajua ni kwa nini?