Unapo-chat na girlfriend wako kwa style hii

Unapo-chat na girlfriend wako kwa style hii

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,298
Reaction score
7,612
Wewe:Oya!

Yeye:Niambie!

Wewe:Mzima?

Yeye:Mimi mzima wewe je

Wewe: Niko poa

Yeye:Okay

KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:

Jamaa:Mambo mrembo wewe

Msichana😛oa mzima wewe?

Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo

Msichana:Mmmh!Kivipi yaan

Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana

Msichana😀aah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.

Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona

Msichana;Mh!sawa bhn asante

Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe

Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe

Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza

Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao.

Wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni.

Huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
 
Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)

SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
 
Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)

SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO

Wacha weeeee
 
Natamani kumuonyesha shemeji yenu sema hata Smartphone yenyewe hana maana yeye ni type ya kwanza, Sema nmeshamzoea ana maupendo ila hajui kuchat 😃😃😃😃..
Pamoja na kumsifia hayo maupendo, akitokea mwamba 1 wa type hiyo hapo ju tayari unamsariti jamaa yetu huyo asiye na smart phone. Halafu umesema unatamani asome haya mambo, si uumpe simu yako asome au kuna tatizo!?
 
Pamoja na kumsifia hayo maupendo, akitokea mwamba 1 wa type hiyo hapo ju tayari unamsariti jamaa yetu huyo asiye na smart phone. Halafu umesema unatamani asome haya mambo, si uumpe simu yako asome au kuna tatizo!?
Yuko busy jamani, akirudi ntampa asome...
weeeh simsaliti ndo udhaifu wake huo sina jinsi
 
Yuko busy jamani, akirudi ntampa asome...
weeeh simsaliti ndo udhaifu wake huo sina jinsi
Iko hivi mrembo; wanaume wote tulio busy hatutumii smart phone kwasababu ya ku save chaji, smart phones nyingi hazikai na betri/chaji muda mrefu. Ndio hivo mama but again unajiepusha na mambo unnecessary.
 
Iko hivi mrembo; wanaume wote tulio busy hatutumii smart phone kwasababu ya ku save chaji, smart phones nyingi hazikai na betri/chaji muda mrefu. Ndio hivo mama but again unajiepusha na mambo unnecessary.
Kabisaaa maana smart zina mengi, ila akiwa offline tunaishi kwa amani tu ni kuzoea tu
 
Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)

SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
hahahhaahahahhaha, komesha
 
Wewe:Oya!

Yeye:Niambie!

Wewe:Mzima?

Yeye:Mimi mzima wewe je

Wewe: Niko poa

Yeye:Okay

KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:

Jamaa:Mambo mrembo wewe

Msichana😛oa mzima wewe?

Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo

Msichana:Mmmh!Kivipi yaan

Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana

Msichana😀aah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.

Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona

Msichana;Mh!sawa bhn asante

Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe

Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe

Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza

Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itinerary

kuliwa kimasihara inaanzaga hvi hvi
 
Iko hivi mrembo; wanaume wote tulio busy hatutumii smart phone kwasababu ya ku save chaji, smart phones nyingi hazikai na betri/chaji muda mrefu. Ndio hivo mama but again unajiepusha na mambo unnecessary.
Haujatumia infinix, Oppo na huwawei wewe!
 
Back
Top Bottom