Unapo-chat na girlfriend wako kwa style hii

Unapo-chat na girlfriend wako kwa style hii

Wewe:Oya!

Yeye:Niambie!

Wewe:Mzima?

Yeye:Mimi mzima wewe je

Wewe: Niko poa

Yeye:Okay

KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:

Jamaa:Mambo mrembo wewe

Msichana😛oa mzima wewe?

Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo

Msichana:Mmmh!Kivipi yaan

Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana

Msichana😀aah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.

Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona

Msichana;Mh!sawa bhn asante

Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe

Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe

Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza

Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Huyo kwanza ndo real.

Huyo wa pili kimeo
 
Huyo wa pili atanibore.

Maneno marefu refu hivo ya nn!
Mwanaume wa kujieleza hivo hapana kwa kweli.
 
Wewe: Mamb
Msichana: Poa bby..umepoteaaa sana bana.
Wewe: nilikuwa busy sana, vpi tunaweza meet leo maana siku nyingi, ukanionyeshe.
Msichana: Sawa, kweli hata mie nimekumic saana - utanishutua ulipo ili nije mai.
Wewe: Pouwa
Msichana: Afu bby???
Wewe: naimbie bby..
Msichana: Hela ya kusuka basi maana nyele zipo vururu vururu
Wewe: Bei gani ?
Msichana: ni sh 40,000 tu bby, nataka kusuka zile unazipendaga kuzichezea chezea eee
Wewe: (huku roho inakuuma ukijuta kwa nini ulimtafuta) ok nakutumia bby
Msichana:asante mai, pia kumbuka na nauli ya bajaji 10,000 na ya kutolea si unajua cku izi tena, na kitimoto mai wangu yaani umenizoesha vby !!
Wewe: kwa unyonge mno, ok nakuwekea usijali.


Hapo kwa unyonge unashika simu unacheki salio la Mpesa una 12,000 tu, kazi kwako.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cc [mention]Everglow [/mention] haya sasa
Nisalimie.
Hey beautiful.
Mi ndo nianze kujieleza maneno meeengi.
Like "ujue babe naumwa, kuna mtu kaniudhi, kwanza jana we hukuwa online mi kwanza nimekununia ,I love you"
Kisha aulize
"Are you okey"
Ajibiwe
"Naah bado nimenuna"
A man aseme
" Do this and this you will be fine"
Or
"I"ll make up with you nikirudi, laters"
Take care.
That chatting hata bila kuindicate personas unajua yupi ni male na yupi ni female hapo
Its sexier zaidi when a woman does the ngwini part and a man do the physique part.
Ongea kidogo fanya sana
Niongee sana nifanye kidogo.

Sasa mwanaume anaandika text moja ina paragraph sita.
Mi niandike nn?
Masculinity ni pamoja na kuwa interrogative zaidi kuliko explanative.
Well, hii ni mimi!
 
Wewe:Oya!

Yeye:Niambie!

Wewe:Mzima?

Yeye:Mimi mzima wewe je

Wewe: Niko poa

Yeye:Okay

KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHAT NA MSICHANA HUYO HUYO KWA STYLE HII:

Jamaa:Mambo mrembo wewe

Msichana😛oa mzima wewe?

Jamaa:Mimi Niko poa kabisa halafu kila nikipata nafasi ya kuchat na wewe kuna hali fulani huwa najisikia amani sana hata kama nilikuwa najisikia hovyo

Msichana:Mmmh!Kivipi yaan

Jamaa:Ulivyo mzuri tu kwangu ni sababu tosha ya kujihisi hivyo sio siri umejaaliwa rafiki yangu Mungu kakupendelea sana

Msichana😀aah! Rafiki yangu huishi kunifurafisha asubuhi yote hii ushaanza kunipamba ujue maneno yako yananifanya niringe wakati sistahili.

Jamaa;Hapana unastahili kabisa kuringa wangu kweli wewe ni mzuri wala sio uongo sema tu huwezi jiona sisi ndio tunakuona

Msichana;Mh!sawa bhn asante

Jamaa:Ila sio siri wangu uongo mbaya mimi nimekupenda sipati picha nitakuwa na furaha kiasi gani utakapo nifanya mwenye bahati kwa kunipa nafasi ya kuwa na wewe

Msichana:Mh! Hapana wangu umechelewa mimi tayari nipo kwenye mahusiano ila kiukweli unanipa furaha najisikia raha sana ninapokuwa nachati na wewe

Jamaa;Ni haki yako kuwa na furaha malikia wangu kwa sasa wacha nikutakie siku njema nataka nifanye kazi moja hivi nitakujulisha baadae nikimaliza

Msichana:Asante sweetie! Ntakumiss muda huo utakapo kuwa bize ila usikawie kurudi online sawa eeh?
____________________________
Unaweza kusema huyu msichana ni cheap analainishwa na maneno tu lakini ukweli ni kwamba wanawake kwa ujumla wapo hivyo siku zote wanapenda kusikia maneno matamu kutoka kwa wapenzi wao.

Wakati mwingine unaweza kuwa na pesa na kila kitu lakini bado mpenzi wako akachukuliwa na jamaa asie na pesa kisa maneno laini tu hivyo basi acha kuongea /Au kuchati na mpenzi wako kama unavyo chati na mshikaji wako wa kijiweni.

Huyo ni mwanamke anapaswa kubembelezwa kati ya makosa tunayo fanya katka mahusiano ni kuacha mwanya mshikaji mwingine apate nafasi ya kumfurahisha mpenzi wako usiruhusu itokee
Kumbe bhana maujuz mnayatumia kubeb people of the people
 
Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)

SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
Ati cheki mpesa yako dah hii sms tamu kuliko hata maziwa.
 
Back
Top Bottom