Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,298
- 7,612
- Thread starter
- #81
Wewe upo kundi ganii??Hiyo itakua inafaa kwa kundi maalumu [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe upo kundi ganii??Hiyo itakua inafaa kwa kundi maalumu [emoji16]
Lenye uhitaji maalumuWewe upo kundi ganii??
Unahitaji kitu gani maalum nataka nikutumie kwenye account yako[emoji16][emoji16]Lenye uhitaji maalumu
Hapa umeonesha matumizi makubwa ya pesa as your life style bila kujali kwamba atakuja au hatokuja na kiwango hicho umekadiria wewe anyway, kupanga sio kuchagua!Mimi: Oya
Yeye: Niambie
Mimi: Nikitumie kwa empesa au tigo?
Yeye: yoyote my
Mimi: Ok cheki empesa yako.
Yeye: Thank you love nimeiona, niko njiani nakuja usiondoke.
Mimi: Akh usije saivi niko bize.
Yeye; Nakuja tena usitake kuniuzi au una mwanamke mwingine/ Nishapanda bajaji
Mimi: (Nabaki kutabasamu tuu)
SASA WEWE ENDELEA KULAINISHA MANENO
Mbona umeshakitaja hicho "kitu maalumu" 😁Unahitaji kitu gani maalum nataka nikutumie kwenye account yako[emoji16][emoji16]
Hiyo inakuja kuwa mbwa kala mbwaKinyume chake wapo walimbwende wanaojua kucheza na lugha hizo za kuchombeza ili akuingize kwenye anga zake
ZilipendwaSijakataa, upo sahihi, nakubaliana na wewe lakini maneno matamu ni muhimu ndo maana nikasema wale vijana waache kuongea na pisi kali Kama wanavyoongea na wahuni wenzao vijiweni.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yeye nia yake ni apate utamu mara moja asepe, hawa maslay hata uwe na magunia ya pesa ngapi? They aren't faithful huwezi oa hawa tunapiga pumbu tunatembea kwa wife materials.
Huu ndiyo uhalisia kwa man yuko na akili he can't dare hawa wajibwa koko.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
1st version 🤣Natamani kumuonyesha shemeji yenu sema hata Smartphone yenyewe hana maana yeye ni type ya kwanza, Sema nmeshamzoea ana maupendo ila hajui kuchat 😃😃😃😃..
Mzuka unaupataje.... Kama hajui kuchat🤣🤣Natamani kumuonyesha shemeji yenu sema hata Smartphone yenyewe hana maana yeye ni type ya kwanza, Sema nmeshamzoea ana maupendo ila hajui kuchat 😃😃😃😃..
Old is goldZilipendwa
Naona umeanza siasa au umedhamiria kuninyima tuu bila sababu[emoji12]Mbona umeshakitaja hicho "kitu maalumu" [emoji16]
Post zenu wakulungwa unaweza kujikuta unaishia kucheka ata kwenye daladala. 😁😁😁Huyo jamaa mwingine hana hela. Anaandika maelezo mengi sana sio sifa ya wenye hela.
hahahahahahhahahahaSawa ndo kashakuwa na huyo jamaa kamuacha boyfriend wake
hizo chat unahis zitaendelea?
NooooooooSawa ndo kashakuwa na huyo jamaa kamuacha boyfriend wake
hizo chat unahis zitaendelea?
Kama ni mim nina mblock maana kifuatacho ni aibuWewe: Mamb
Msichana: Poa bby..umepoteaaa sana bana.
Wewe: nilikuwa busy sana, vpi tunaweza meet leo maana siku nyingi, ukanionyeshe.
Msichana: Sawa, kweli hata mie nimekumic saana - utanishutua ulipo ili nije mai.
Wewe: Pouwa
Msichana: Afu bby???
Wewe: naimbie bby..
Msichana: Hela ya kusuka basi maana nyele zipo vururu vururu
Wewe: Bei gani ?
Msichana: ni sh 40,000 tu bby, nataka kusuka zile unazipendaga kuzichezea chezea eee
Wewe: (huku roho inakuuma ukijuta kwa nini ulimtafuta) ok nakutumia bby
Msichana:asante mai, pia kumbuka na nauli ya bajaji 10,000 na ya kutolea si unajua cku izi tena, na kitimoto mai wangu yaani umenizoesha vby !!
Wewe: kwa unyonge mno, ok nakuwekea usijali.
Hapo kwa unyonge unashika simu unacheki salio la Mpesa una 12,000 tu, kazi kwako.