[emoji23][emoji23][emoji23] umesema kweli lakini lengo la kupeana nywila ni nini haswaKuaminiana na kupendana ni vitu 2 tofauti. Usimwamini yeyoye, hasa mpenzi wako. Pendaneni msiaminiane [emoji23].
Wa kumwamini ni Mungu Muumba pekee.
We haya tuu..Bi Mdogo mbona kelele imeshaanza
Ok, naona unatumia platform kumsema huyo aliyeikimbia ID yake.
Ni nani?
Akiwa mwanamke anaitwaje?Domo zege mwanaume asiyeweza kutongoza
DuuuhBora ubaki na hawa wakitaa unaowaona kila ck kuliko wa humu kwanza mpaka mje kujuana shughuli
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we mtoto jinga sanaEeeh dada mm sijambo kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa humu bhn khaaa wanazani umaarufu ndo umepata mtu wengine siye magurugembe tumeshindikana matapelii si matapeli ukiingia lazima urud jf kulia ptuuuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwanamke hakunagaAkiwa mwanamke anaitwaje?
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
aaahh sanaUjue anko wangu unapata mateso makubwa sana
πππππmie na unyakunyaku wapi na wapi sh'kiki wanguu...mie mama ntilie ndio fani yanguEeeenh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema kweli jamani umeanza linii kuwa nyakunyaku eti
Kuaminiana na kupendana ni vitu 2 tofauti. Usimwamini yeyoye, hasa mpenzi wako. Pendaneni msiaminiane [emoji23].
Wa kumwamini ni Mungu Muumba pekee.
Nakusaidia anko wangu sitaki upate shida kabisaaaahh sana
nategemea utasaidia hapo
[emoji23][emoji23][emoji23] umesema kweli lakini lengo la kupeana nywila ni nini haswa
Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini imegeukia upande wetuWanawake wa siku hizi mmekuwa madomo zege saana.
Mama ntilie wangu wa kishua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie na unyakunyaku wapi na wapi sh'kiki wanguu...mie mama ntilie ndio fani yangu