πππhadi ajishtukie.Yani nikimjua naacha kujibu texts zake, bluetick atakazokutana nazo yeye mwenyewe ataamua asinitafute
Na mi NIKAZIE au niache??π€π€Nakaziaπ π
Utamjuaja mtu anayetumia whatsapp GB?? Kwenye official whatsapp !!
Kazia bila picha ni chai tuu hiyooπ€πNa mi NIKAZIE au niache??π€π€
Okay shukurani. Hivi hamna dalili nyingine zaidi ya hiyo uliyoitaja??Umeweka zako status umefuta unakutana na comment / reply ya mtu kuhusu status yako uliyoifuta au ame reply ulichokifuta ni hivyo tu.
Tuone mkuu hiyo shanga toleo jipya π€π€π€Mimi nikigundua una WhatsApp Gb nakublock au nafuta namba zako!!
Kuna mmama alipiga pic ya utupu kwa camera ya mbele na sura lake linaonekana pamoja na mpodido, akataka kumtumia mchepuko akashangaa kalituma tumbua status ππππ
Watu wakasave, akaja kupigiwa simu na mtoto wake wa kike afute baada ya mume wa mtoto wake kuliona!!!
Sema japo mamΓ‘ age go ila katuzidi had mabinti afu alivaa shanga toleo jipya hahaaaaa!! π€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Okay shukurani. Hivi hamna dalili nyingine zaidi ya hiyo uliyoitaja??
Maana si mtu wa status sana
Hadi ajue kama hapa sasa niko ignored πππππhadi ajishtukie.
Wee mama wa mtu!!Kama ni kweli weka picha tujiridhishe!?
Shukurani mkuu....Kwenye chatting room yenu huoni blue tick ya message zako ila ana reply. Mimi ndo hizo nazijua.
Hivo yaan π€πHadi ajue kama hapa sasa niko ignored ππ
Naachaje kwa mfano π€£π€£π€£We hukusave??
πππtupia basi hako ka picha mkuuπ€πWee mama wa mtu!!
Ile pic ilivyonifikia na umbea wangu nikamsimulia baby wangu, akasema ebu tuone!! πππ
Nikamkatalia akaforce akachukua simu akaliangalia!! We nikakuta mtu kabadilika akaninyanyua nyaku km kifaranga cha kuku π€£π€£π€£π€£
Akaenda kunifanya asusa, nikasema kweli bi mkubwa kabarikiwa had baby kadisaaa!!!
πsanaaShukurani mkuu....
Ni mimbea mbea we iwekee kitu chochote cha uongo afu futa uone itakavyoanza kujifaragua βHata km umefuta tyr tumeonaβUtamjuaja mtu anayetumia whatsapp GB?? Kwenye official whatsapp !!
Huyo mwl wa phyz alikuwa wa mchongo.Mwalimu wa physics aliwahi sema jibu la kwanza kulifikiria au litakalo kujia ndo sahihi
Blue tick zinamfanyaje hadi aache kukutafuta?Yani nikimjua naacha kujibu texts zake, bluetick atakazokutana nazo yeye mwenyewe ataamua asinitafute