BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Khaaaaaa ππππππ wizoooo ππππWee mama wa mtu!!
Ile pic ilivyonifikia na umbea wangu nikamsimulia baby wangu, akasema ebu tuone!! πππ
Nikamkatalia akaforce akachukua simu akaliangalia!! We nikakuta mtu kabadilika akaninyanyua nyaku km kifaranga cha kuku π€£π€£π€£π€£
Akaenda kunifanya asusa, nikasema kweli bi mkubwa kabarikiwa had baby kadisaaa!!!
π€£π€£π€£ wizo hatareeeKhaaaaaa ππππππ wizoooo ππππ
Hilo nililijua niliona hata upelekaji moto wake ni km analivutia hisia lile tumbua la kwenye simu la yule bi mkubwa π€£π€£π€£π€£Khahh sasa wamekuzaa na umeshawachungulia. Ukaona vizuri ukapeleka kwa mdogo,sema tu hujui kitu. We alikubinua fizikali,lakini akilini alikuwa na huyo maza. Sasa na mimi nipe maza huyo,ananizidi tu kiduchu
Weeeee mama mwenyewe akijichanganya namfukuzia mapepo sembuse shangazi. Ukikataa,nachola lako nalitumkia kufukuza pepo sasa. Mi nakwambia na wengine wasikieHilo nililijua niliona hata upelekaji moto wake ni km analivutia hisia lile tumbua la kwenye simu la yule bi mkubwa π€£π€£π€£π€£
Lile dude situmi inaweza kuwa ni shangazi yako, huoni km ni udhalilishaji?
Hope picha ya hilo jimama bado hujaifuta. Nisogezee PM ili nililipue hilo jimama kwa sheria binafsiMimi nikigundua una WhatsApp Gb nakublock au nafuta namba zako!!
Kuna mmama alipiga pic ya utupu kwa camera ya mbele na sura lake linaonekana pamoja na mpodido, akataka kumtumia mchepuko akashangaa kalituma tumbua status ππππ
Watu wakasave, akaja kupigiwa simu na mtoto wake wa kike afute baada ya mume wa mtoto wake kuliona!!!
Sema japo mamΓ‘ age go ila katuzidi had mabinti afu alivaa shanga toleo jipya hahaaaaa!! π€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Hivi Lamomy ni kwamba hutusikii au? Tukiandamana kukusaka ujue badala yake itakuwa wewe sasa. We kazia tuHope picha ya hilo jimama bado hujaifuta. Nisogezee PM ili nililipue hilo jimama kwa sheria binafsi
Si kweli mim huwa nadelay had inagoma kabisa ndio naaupdateNaughty by nature GB w'app kasoro yake ni moja tu.
Uki-delay kui-update ikiwa detected namba yako inapigwa ban kutumia w'app so ukiipenda uwe makini sana siku ukiona notification inadai kuboreshwa tu hapo hapo u-download uendelee kula maisha.
Amsha hilo lipopo sasa na weweHilo nililijua niliona hata upelekaji moto wake ni km analivutia hisia lile tumbua la kwenye simu la yule bi mkubwa π€£π€£π€£π€£
Lile dude situmi inaweza kuwa ni shangazi yako, huoni km ni udhalilishaji?
Hiyo unafanya hata kwa whatsapp ya kawaida wala usikariri, unaturn off read receipts, ila nawe pia hutaona blue ticks kwa mwenzakoKwenye chatting room yenu huoni blue tick ya message zako ila ana reply. Mimi ndo hizo nazijua.
Utajuaje Kama mtu ana WhatsApp GB pasipo kushika simu yake?Exactly π―, ila wazee wa WhatsApp GB nawa mindπ¬
Kwa mfano wewe ukimtumia mtu text akaview halafu asijibu hua unajiskiajeππBlue tick zinamfanyaje hadi aache kukutafuta?
Au ni block ya kisasa?
Gb whatsap ni noma na nusu wale jamaa sio poa na ukianza kuitumia kamwe hautarudi whatsap ya kawaida utaiona michosho tu. Ni kama ukizoea kula pilipili afu upewe chakula hakina pilipiliGb watsapp [emoji573][emoji573][emoji573]
NakaziaUtamjuaja mtu anayetumia whatsapp GB?? Kwenye official whatsapp !!
Hio hata WhatsApp ya kawaida unaweza kuisetiKwenye chatting room yenu huoni blue tick ya message zako ila ana reply. Mimi ndo hizo nazijua.
Hivi kumbe hata wanawake mkiona sehemu za siri za ke wenzenu huwa mnatamani? [emoji2]Mama kablessiwa nakwambia [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi binti nimesisimka vile!!! Je, wanaume?