Aaache tu na aminye kwani kitanda hakizai haramu,huko kijijini wanazaa tu baba na mama wa jirani wakikutana mashambani,unawez a hata ww kwenda kupima dna na baba ako ukakuta si wako, tatizo wanawake wanabeba mimba wanaume hawabaki na uthibitisho wa mimba.simfagilii huyo mama bali namsikitikia huyo victim yaan mtoto.