Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

mwenye kisu kikali ndiye mla nyama
 
Mathayo 7:7 huwa naitumia ipasavyo

α΅‚α΅’Κ³Κ³ΚΈ ⁱ˒ ᡃ Κ·α΅’Κ³α΅ˆ ᡗʰᡃᡗ α΄΅ α΅ˆα΅’βΏα΅— ᡃˑˑᡒʷ ᡐʸ˒ᡉˑᢠ α΅—α΅’ α΅˜Λ’α΅‰βœ“
 
Kama kila unapoomba unapewa litakuuma je mkuu

God save us
 
Mkuu nilivyosoma heading nilijua unazungumzia kumwomba Mungu,kumbe ni upande wa pili
 

Bora wewe viatu, mimi nilimnunulia chupi 7, tena nzuri kweli kweli yani ile ni mitoko kabisa, nakumbuka nilimvua moja tuu kati ya hizo saba, hizo nyingine kuna wahuni bado wanaendelea kumvua itakuwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…