Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

.

Hahaa hata kama sio Mimi ila naamini yanawatokea Wengine pia
Mwenyewe ilishanitokea ndiyo maana nikalikumbuka.

Wengi wanakufa na taia shingoni. Ila mwisho wa siku nilijipa moyo huwezi kukubaliwa na kila mtu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…