Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

.

Hahaa hata kama sio Mimi ila naamini yanawatokea Wengine pia
Mwenyewe ilishanitokea ndiyo maana nikalikumbuka.

Wengi wanakufa na taia shingoni. Ila mwisho wa siku nilijipa moyo huwezi kukubaliwa na kila mtu.
 
[emoji24][emoji4] Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom