Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,092
- 9,063
Wao uzuri hawatongozi wanafia na maumivu yao kimya kimya.
Mimi huyu huyu kabisaaaaaa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hahaha
We si ulikua unakataa zawadi zangu,unasema unanipenda mimi tu,zawadi zangu hutaki!
Ndio.Unataka upewe?
HahahaMimi huyu huyu kabisaaaaaa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hata nikilogwa hilo haliwezi kutokea.
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Hahaha
Labda umebadilika sasa hivi
Si unajua jinsi ninvyopenda zawadi za kupeana mkono kwa mkono?[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Inakuwaje etiKuombwa mahela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukaviiba[emoji24][emoji4] Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si unajua jinsi ninvyopenda zawadi za kupeana mkono kwa mkono?
Zinakuja bebee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumbaaaaaafu!! Haya niletee hizo zawadi kabla sijaghairi.
Amekuruhusu nn eti mdaka chozi wa auntieTegemea ugeni wangu,Auntie yako ameniruhusu
Zitume.Zinakuja bebee
[emoji24][emoji4] Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeniacha lini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishamuacha mimi, namtunuku alafu hanipi zawadi kumbe kuna wanaopewa[emoji134]