Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

[emoji24][emoji4] Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inji inahitaji watu kama wewe ( in Mremas voice)

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom