Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Unapokuwa nje ya JF huwa unammiss nani zaidi?

Kwanza kabisa nammisigi My one and onliiii friend, my dear one, my furendiiiiii a furendi in deed So loving, so caring so unique!

Ananijalii sanaaa na kunishaurii sanaaa pia amenibadilisha sana!!

Abarikiwe mnooo mnoooo rafiki yangu huyu!!

Si mwingine bali ni My dear!
Igweeeee!!!
 
Kwa hiyo ndio kusema ndio ikawa hivyo na vile? Alafu ndio ikawa hivi? Chanya na chanya si moto huo, waya wa live na earth una sababu zake. Sasa ikiwa live na live si ndio itakua hivyo

Tuseme tu hayanihusu, lakini ngoja nisikitike hapa
Mbna wee chanya na hasi na bado umeme umesambaratikaaa? Au nguvu ndogoooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sikitika kulea shahawa za mwanaume mwenzio, ukidhani zako. Tafuta mtoto wako acha kukumbatia bao LA mwanaume mwenzio, ni uchuro na usungo huo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee Nikki wee.
 
Mbna wee chanya na hasi na bado umeme umesambaratikaaa? Au nguvu ndogoooo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sikitika kulea shahawa za mwanaume mwenzio, ukidhani zako. Tafuta mtoto wako acha kukumbatia bao LA mwanaume mwenzio, ni uchuro na usungo huo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee Nikki wee.
Hiyo comment ni ya muda mrefu sana, but nimekuambia kwa sasa sina tatizo na wewe, na nakupenda tu. Labda kama wewe unalo tatizo na mm

Nilipokosea I'm sorry.
 
Hiyo comment ni ya muda mrefu sana, but nimekuambia kwa sasa sina tatizo na wewe, na nakupenda tu. Labda kama wewe unalo tatizo na mm

Nilipokosea I'm sorry.
Utajijuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom