Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukicheza forex kamwe hutopata unachotaka zaidi utapoteza ulichonacho..Ngoja waje wacheza forex
Hata Mbuzi za humu zinajifanyaga much know zote zilisombwa pale Jangid,muhuni akatelezesha nyoka pangoni then akapita zake na Mia.Mimi naamini hivyo, eti hadi brother Kigwa naye alipigishwa foleni pale jangid afundishwe jinsi ya ku download dolari, huyu kijana hatari sana aisee.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
We Acha tu, nika tafuta hadi forex Bible nakesha nayo, lakin holla, nikaiweka 10 inaenda, nikaiweka 100 inaenda, wa kaniambia tatizo ni vimtaji vyangu vidogo mno, nikaiweka 500usd nayo ikapita hivyo!! Nikakoma ulafiIjue biashara ya Forex: Hakuna benki inataka ujue
Nikikumbuka kichwa hiki huwa nacheka tu.
Boss wa hapa JF naye alipiga picha na OntarioMimi naamini hivyo, eti hadi brother Kigwa naye alipigishwa foleni pale jangid afundishwe jinsi ya ku download dolari, huyu kijana hatari sana aisee.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mpaka na nyoka kumbe waliruka nae 😆. DahHata Mbuzi za humu zinajifanyaga much know zote zilisombwa pale Jangid,muhuni akatelezesha nyoka pangoni then akapita zake na Mia.
Hivi kumbe ni mchezo?Ngoja waje wacheza forex
Mbona tulisema hapaForex ni nyoko jana tu nimepoteza usd 591, maniner..