Unapomkosea mwanamke, Usimwambie Unampenda, badala yake muombe Msamaha!

Hii migube gube ya dunia ya leo msamaha pekee wanaojua ni pesa.

Hata akukute upo uchi na demu mwingine ukituma muamala tu yameisha.
Yenyewe yanawaza upatu na VICOBA tu.
 
Usikubali makosa
 
Chief

Lunch ya Leo IPO juu yangu

Waambie ETUGRUL BEY atasimamia show nzima
 
Hapo ndo mnapokosea
Unaweza ukawa umepata wife material,anaejielewa na kujua wajibu wake kwa mumewe ila sasa hii attitude yako ikampoteza!
Unapaswa umsome mwanamke ulie nae ni wa aina gani usiishi kwa kukariri!
💪💪💪
 
Hata ukamatwe on spot mwanaume unapaswa kukataa kwamba sio ww.

Mwanamke : baba flani nilikua naambiwa tu na watu leo kwa macho yangu nakushuhudia upuuzi unaofanya, hv kweli we wa kunisaliti na huyu Malaya?

Mwanaume: hapana mama flani utakua umenifananisha sio mm. Mi sijawahi kukusaliti
 
Chief

🤣🤣 Umenikumbusha Ile nyimbo ya sheggy he wasn't me!

Ila mambo mengine ni rahisi kusema kuliko hali halisi ilivyo
 
Kosa kubwa sana mwanaume
kutamka "nisamehe" kwa mwanamke.
Ambae si mama ako na mko kwny mahusiano

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kosa kubwa sana mwanaume
kutamka "nisamehe" kwa mwanamke.
Ambae si mama ako na mko kwny mahusiano

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Chief

Naomba tukubaliane kutokukubaliana juu ya jambo hili

Wewe endelea kuwa na mtazamo juu ya Hilo nami niwe na mtazamo kwamba wanawake wanastahili kuombwa msamaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…