Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Unapomvua nguo binti mrembo na kukuta mwili wake una chale kibao huwa unapata picha gani?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.

Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.

Hapa unapata picha gani?

Utapiga mzigo na kunasa?

Binti ni mzee wa kazi?
 
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.

Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.

Hapa unapata picha gani?

Utapiga mzigo na kunasa?

Binti ni mzee wa kazi?
Uchawi wenye nguvu hauonekani kwa macho wala hauna alama. Hayo machale ni makovu tu ya zindiko lililokwishafanyika.. Unaweza hata ukayapelekea ulimi bila shida yoyoye na kama yamekaa pazuri unaeza kuyanona kabisa[emoji7][emoji39][emoji39]
 
Umeenda mahala kula mzigo na una hamu kinyama na binti mrembo na anakubali umtafune na umvue nguo zake.

Lakini ukimvua tu nguo unakutana na chale mwili mzima za kila aina.

Hapa unapata picha gani?

Utapiga mzigo na kunasa?

Binti ni mzee wa kazi?
Hii kitu ndio imekutokeo mida hii? Wewe kula mzigo usihofu
 
Back
Top Bottom