Unapoona picha kama hii huwa unawaza nini katika akili yako?

Unapoona picha kama hii huwa unawaza nini katika akili yako?

Mkuu kwanini mwili unakataa wakati wkati kile kitu sio part ya mwili wako .?


At the first time unatumia kilevi mwili huwa unakataa Ila ukiendelea baadae mwili unakubali.

So siku usipotumia unajisikia haupo vizuri (comfortability inapotea)

Mwili unaanza kudai kilevi na ukikosa unakuwa haujisikii vzr

So waraibu wanapitia hali Kama hiyo ndo maana sober house hupewa dawa ambazo zina-cover pengo la vilevi mesadoni
 
Afu msimamizi nae akauhamisha kupeleka kwenye jukwaa la mapenzi ambalo silipendi kabisa, babeka๐Ÿ˜‚
Ahahaha ila si bado unadunda mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kumbe we jau
 
avune alichokipanda, hakuna namna
hahaha maoni mwenyekiti wetu chaputa na ceo na founder wa team kataa ndoa hua yaniletea mashaka sana sometimes nawaza huyu mwenyekiti wetu atakua amekula hela za illuminati atuingize mkenge ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ahahaha ila si bado unadunda mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kumbe we jau
Hadi dem wangu nilimuona anagawa like, nikasema kwisha habari yangu ๐Ÿ˜‚, watu wabaya sana babeka ๐Ÿ˜‚
 
At the first time unatumia kilevi mwili huwa unakataa Ila ukiendelea baadae mwili unakubali.

So siku usipotumia unajisikia haupo vizuri (comfortability inapotea)

Mwili unaanza kudai kilevi na ukikosa unakuwa haujisikii vzr

So waraibu wanapitia hali Kama hiyo ndo maana sober house hupewa dawa ambazo zina-cover pengo la vilevi mesadoni
Oooooh kumbe..
Nikajua kadri unavotumia vinakua part katika damu....
 
Hadi dem wangu nilimuona anagawa like, nikasema kwisha habari yangu ๐Ÿ˜‚, watu wabaya sana babeka ๐Ÿ˜‚
Kudadakeerr ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Eti ni kweli raha yake ni zaidi ya kupiz???
Kama kuna kitu kina raha zaidi yake basi siwalaumu mateja
Nyie ndo mnataka vijana tuende huko sasa kwa hayo maneno yenu.๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom