Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Unapopata mtoto ukiwa na umri mkubwa, kikubwa unachoweza kumpa ni busara ulizozikusanya kwa miaka mingi. Uwezekano wa kusherehekea mahafali yake ya elimu ya juu ni mdogo sana.
David Foster mwenye umri wa miaka 73 akiwa na mke wake wa ndoa ya tatu na mtoto wao.
Watoto wa uzeeni wana muda mwingi wa kucheza na wazazi wao kwani huwa wamesha staafu. Kwa wale walio pangilia maisha na wana vitega uchumi, uzeeni pesa inakuwepo.
Watoto wa ujanani wanazaliwa wazazi wakiwa katika harakati za kupambana na maisha. Wengine wazazi bado ni wanafunzi, wazazi wengine wanafanya kazi masaa 12 nyumbani wanaingia kulala tu.
Uamuzi ni wako kuzaa ujanani au uzeeni.
David Foster mwenye umri wa miaka 73 akiwa na mke wake wa ndoa ya tatu na mtoto wao.
Watoto wa uzeeni wana muda mwingi wa kucheza na wazazi wao kwani huwa wamesha staafu. Kwa wale walio pangilia maisha na wana vitega uchumi, uzeeni pesa inakuwepo.
Watoto wa ujanani wanazaliwa wazazi wakiwa katika harakati za kupambana na maisha. Wengine wazazi bado ni wanafunzi, wazazi wengine wanafanya kazi masaa 12 nyumbani wanaingia kulala tu.
Uamuzi ni wako kuzaa ujanani au uzeeni.