Unaposikia mtu kafa kwa over dose ya madawa ya kulevya ni kwamba raha ilizidi mpaka akili ikasahau kupumua ili mwili upate starehe

Unaposikia mtu kafa kwa over dose ya madawa ya kulevya ni kwamba raha ilizidi mpaka akili ikasahau kupumua ili mwili upate starehe

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Madawa ya kulevya ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokumba jamii nyingi duniani.

Mara nyingi, tunaposikia mtu amefariki kutokana na overdose, hatufahamu kabisa kinachotokea ndani ya mwili hadi kufikia hatua hiyo ya hatari.

Overdose ya madawa ya kulevya mara nyingi inahusiana na hali ya raha au ‘high’ inayotokana na dawa hizo, Unapomuona mteja wa dawa za kulevya udenda unamtoka kalegea baada ya kutumia, huwa yupo ulimwengu tofauti kabisa, yupo katika hali ya kujisikia raha

Wakati mtu anapotumia dawa za kulevya kwa kiwango kikubwa, dawa hizo huathiri uwezo wa ubongo kuwasiliana na mwili. Matokeo yake ni kwamba kazi za msingi kama kupumua zinaweza kupungua au hata kusimama kabisa.

Wakati kiwango kikubwa kinapotumika, ubongo unaweza kusahau kuendesha mfumo wa kupumua, hali inayojulikana kama "respiratory depression." Mtu anaweza kufikia hali ya kupoteza fahamu na hatimaye kufariki kutokana na kukosa oksijeni
 
Madawa ya kulevya ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokumba jamii nyingi duniani.

Mara nyingi, tunaposikia mtu amefariki kutokana na overdose, hatufahamu kabisa kinachotokea ndani ya mwili hadi kufikia hatua hiyo ya hatari.

Overdose ya madawa ya kulevya mara nyingi inahusiana na hali ya raha au ‘high’ inayotokana na dawa hizo, Unapomuona mteja wa dawa za kulevya udenda unamtoka kalegea baada ya kutumia, huwa yupo ulimwengu tofauti kabisa, yupo katika hali ya kujisikia raha

Wakati mtu anapotumia dawa za kulevya kwa kiwango kikubwa, dawa hizo huathiri uwezo wa ubongo kuwasiliana na mwili. Matokeo yake ni kwamba kazi za msingi kama kupumua zinaweza kupungua au hata kusimama kabisa.

Wakati kiwango kikubwa kinapotumika, ubongo unaweza kusahau kuendesha mfumo wa kupumua, hali inayojulikana kama "respiratory depression." Mtu anaweza kufikia hali ya kupoteza fahamu na hatimaye kufariki kutokana na kukosa oksijeni
Hiii ndo ile highest in the room ya travis scott
 
Madawa ya kulevya ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokumba jamii nyingi duniani.

Mara nyingi, tunaposikia mtu amefariki kutokana na overdose, hatufahamu kabisa kinachotokea ndani ya mwili hadi kufikia hatua hiyo ya hatari.

Overdose ya madawa ya kulevya mara nyingi inahusiana na hali ya raha au ‘high’ inayotokana na dawa hizo, Unapomuona mteja wa dawa za kulevya udenda unamtoka kalegea baada ya kutumia, huwa yupo ulimwengu tofauti kabisa, yupo katika hali ya kujisikia raha

Wakati mtu anapotumia dawa za kulevya kwa kiwango kikubwa, dawa hizo huathiri uwezo wa ubongo kuwasiliana na mwili. Matokeo yake ni kwamba kazi za msingi kama kupumua zinaweza kupungua au hata kusimama kabisa.

Wakati kiwango kikubwa kinapotumika, ubongo unaweza kusahau kuendesha mfumo wa kupumua, hali inayojulikana kama "respiratory depression." Mtu anaweza kufikia hali ya kupoteza fahamu na hatimaye kufariki kutokana na kukosa oksijen

Hukuna starehe yeyote wanayopata wavuta madawa zaidi ya mateso makubwa...
 
Sio kweli. Alitumia kiasi kuzidi mwili wake unaweza kuhandle.

Ujue overdose ata ya izi dawa za kawaida ipo.
 
Hiyo hali ndio tunapitia sisi wanaume rijali tunaopiga punyeto, Hakika ni raha isiyopimika
 
Hyo kusema.raha ndo mnapowamaliza vijana...huo ni uongoo semeni wanakua labda wanaona mazimwi ndo maaana wanakufa kwa presha kuokoa wengine wasiige kujua hiyo raha..
 
Hyo kusema.raha ndo mnapowamaliza vijana...huo ni uongoo semeni wanakua labda wanaona mazimwi ndo maaana wanakufa kwa presha kuokoa wengine wasiige kujua hiyo raha..
Si tu raha, ongezea na kufanya mapenzi wakati upo high. Unaweza jihisi tayari ushafika peponi.
 
Madawa ya kulevya ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazokumba jamii nyingi duniani.

Mara nyingi, tunaposikia mtu amefariki kutokana na overdose, hatufahamu kabisa kinachotokea ndani ya mwili hadi kufikia hatua hiyo ya hatari.
Hali ya "raha" au "high" ambayo mtu huhisi anapokuwa amelewa sana hutokana na athari za dawa kwenye ubongo,
ambapo huchochea utolewaji wa kemikali inayoitwa dopamine,
inayosababisha hisia za starehe na utulivu wa muda mfupi.

Hata hivyo, ingawa mtu anaweza kuonekana yuko kwenye raha kwa nje,
ndani ya mwili wake kuna vita kali inayopiganwa – viungo vyake vinahangaika kupambana na sumu ya dawa hizo.

Mfumo wa kupumua, moyo, na ubongo vinakabiliwa na mzigo mkubwa,
hali inayoweza kusababisha kupumua kusimama au hata kifo.

Ikiwa hatua hazitachukuliwa haraka, kama vile kutoa msaada wa kitabibu kwa mtu aliyepata overdose,
mwili unaweza kushindwa kabisa kufanya kazi.
 
Raha wanapat ila mwish wak ndo m baya
Mkuu labda nikwambiye kitu ambacho hukijuwi,,
Mteja especially wa heroin Hana Raha yeyote anayoipata Kwa kuvuta zaidi ya maumivu.


Usione pale anaposinzia ukaona labda ndy Raha zenyewe ,Bali anakuwa kama mtu asiyejielewa Wala kulitambuwa,

Ila kwa.kifupi mteja anavuta ili ajitibu maumivu yanayomsumbuwa akiwa hajavuta na sio
 
Mtu kaachwa na mke bado mnataka kumfanya kama mwijaku
IMG_0747.jpeg
 
Back
Top Bottom