Yo majesty
JF-Expert Member
- Sep 13, 2023
- 687
- 1,179
Hao si nduguze na yule mapafu ya dadii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nguza viking √ nguva xEbana daah hii Kila inapopigwa nakumbuka tu Ile style ya suti bwanga, mkoti mkubwa🤣na wanchoma kumoyo, umenyoa afro fulani hivi.
Zile chupa bia zilikuwa kubwa kubwa kishenzi
"ilikua ikifika siku za siku kuuu"
Kuna ule mstari.
Anakwambia "Ata mvua ikinyesha Leo seya lazima tutoke leo"
Miaka inakimbia
RIP mkapa,
mtakumbuka na ule wimbo wa mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe" RIP banza stone
Kwa upande wako hii ngoma ya babu seya inakukumbusha wapi??
Kuanzia lini majina ya watu yakaanza kuandikwa kwa herufi ndogo mwanzo wa jina?I mean nguza
Alikuwa uchi AU alivaa nguo?Nikisiki neno nguva nakumbuka jinsi nilivyokiwa navua samaki pwani ya msumbiji ambapo msichana mrembo alikuwa anaogelea ufukweni alipotuona alitokomea zake majini. Nolijaribu kuruka majini Mzee mmoja alinishika Tanganyika jeki na kuniambia kuwa yule siyo mtu bali ni samaki Nguva.
Miaka inapenda jameni.
Alikuwa uchi wa mnyama japokuwa mwenyewe alikuwa mnyamaAlikuwa uchi AU alivaa nguo?