Dogo wacha dharau na uhakika 100% wewe ni first year ambae unatarajia kuanza chuo kama ulikua hujui..sociology kwenye NGO ina matter sana na inayotoa watu..na hiyo public administration ina uwanja mpana mpaka U-HRM..tatizo wabongo mna waza jina la kozi nakati katika degree utakayo some kuna courses kibao ambazo..zinaweza kukutoa katika life...ila ni first year usie jua hata kitaa baada ya kumaliza degree kukoje...overr...!!!
Ushauri mzuri sana, mwenye masikio na asikie....
Wakuu natafuta chuo nina point 28 je nitapata mnisaidie wakuu
Yapo mashirika mengi yanayo-deal na hiyo field lkn hapo kwe Arts panachafuaa hhali ya hewa although nadhani chance kwa mashirka kama Family health International (FHI), AMREF, PSI na mengine siyo kubwa kama watu waliosoma mambo ya afya completelly, mfano watu wa public health managements!
bora procurement lingine linasoma socialogy au public administration..!
vp baby wang tumemalza wote au bado una gaa gaa na sap?
daaah.... dume linalo soma family consumer cjuiii lilikuwa linafikiria linii......... hhaah... mambo ya family waachie madada zetu bhana
mi nimechaguliwa aquatic environmental science and conservation vp ajira zake ziko vipi?
yaah nimepata course ya ndoto yang ambayo imekuja baada ya kuingia advance level --quantity surveyor/cost engenier by proffession from aru(uclas) na ndo ilikuwa chaguo langu la kwanzaaa! Ndoto oyeeeeeeeeeee ...kweli wewe ni 3rd year..point ya msingi wewe ni mwanafunzi tu..hujui kitaa kikoje..OVeR...!!!we me nipo 3rd year pale aru SCEM...! so jipangee
yaah nimepata course ya ndoto yang ambayo imekuja baada ya kuingia advance level --quantity surveyor/cost engenier by proffession from aru(uclas) na ndo ilikuwa chaguo langu la kwanzaaa! Ndoto oyeeeeeeeeeee ...kweli wewe ni 3rd year..point ya msingi wewe ni mwanafunzi tu..hujui kitaa kikoje..OVeR...!!!
Hata me nashangaaga,unakuta dume zima eti linasoma community development au procurement!
1st year na 3rd year wote wanafunzii.! Kitaa chote nakijuaa, na kama kuhucu ajira hakuna utata nitajiajiri mtaji co tatizoo! Vp ww upo kitaa mwaka wa ngapi huu ili tukusaidie mawazo..!
NB: kutangulia co kufikaa, so unaweza kuwa umenitangulia kusoma lakini nikakupita kimaendeleoo!
Dogo acha dhihaka,no one knows the coming minute...huo mtaji (pesa) zako ni movable asset mda wowote inaweza kuvanish ,ukarudi kwa ofisi za watu kutafuta ajira then ukakutana na watu waliokutangulia sijui kama utasema hizo fedheha zako???
mi nimechaguliwa aquatic environmental science and conservation vp ajira zake ziko vipi?
mkuu ukimaliza nenda JWTZ hiyo inahitajika balaaa na full mkwanja plus ma vyeo.!so ni ww tuu!