Daah Uzi huu umeniuma sana
KUNA JAMAA NILIMUAZIMA SH ELFU 25 yangu ili atoe hela ya kufanyia sherehe ya kumaliza form four ashone na sare, tangu amalize shule mpaka leo hajibu meseji zangu.
Maadamu napafahamu kwao. Siku zikinipanda namzukia
Sitaki utani kwenye pesa zangu.!!!
Nilikomaa na madam mmoja mambo ya kuazima hela halafu anajifanya kama kupotezea weeeeeeee mbona alitoa hela yangu japo kwa mafungu mafungu na ukaribu wetu ukaishia hadi leo
Ahsante yaani wanadamu bwana kwenye pesa daah!tunabadilika sana! Tuko tayari kupoteza watu wetu!pesa inafanya utu uishe!Duuh... pole sana dada Raynavero kwa kupoteza rafiki.
mimi ilikuwa ni 15k tangu mwaka 2014 hadi leo mwanangu Paschal hataki kabisa kupokea simu yangu hata kama namtafuta kwa mambo mengine.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] anilipe changu!! Kuna kina Doreen wengi tu!kumtaja mwenzio ni kukosa staha jirekebishe
Ni kama hatujuani hvHahaaaa kwa hiyo uswahiba haupo tena?
Pesa hizi....hahahaaa
Why ulimpa hela Mwehu?Sana kuna mwehu aliazima kama milion moja hivi mwaka 2015 mpaka leo anajidai hanijui
Huwa nafanya hivo kwa demu ninaetaka kumwaga!Hahaaaa kwa hiyo uswahiba haupo tena?
Pesa hizi....hahahaaa
Huwa nafanya hivo kwa demu ninaetaka kumwaga!