Paa
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 1,462
- 2,935
Daah Uzi huu umeniuma sana
KUNA JAMAA NILIMUAZIMA SH ELFU 25 yangu ili atoe hela ya kufanyia sherehe ya kumaliza form four ashone na sare, tangu amalize shule mpaka leo hajibu meseji zangu.
Maadamu napafahamu kwao. Siku zikinipanda namzukia
Sitaki utani kwenye pesa zangu.!!!
KUNA JAMAA NILIMUAZIMA SH ELFU 25 yangu ili atoe hela ya kufanyia sherehe ya kumaliza form four ashone na sare, tangu amalize shule mpaka leo hajibu meseji zangu.
Maadamu napafahamu kwao. Siku zikinipanda namzukia
Sitaki utani kwenye pesa zangu.!!!