Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Una uhakika hiki kimeanza kufundishwa mkuu?Wazazi wa Tanzania wapo busy na CCM,hawana habari kuwa syllabus zinafundisha watoto wao ushoga huko mashuleni๐๐๐๐
View attachment 2485772
Wazazi wa Tanzania wapo busy na CCM,hawana habari kuwa syllabus zinafundisha watoto wao ushoga huko mashuleni๐๐๐
hii sio.njema.kbsWazazi wa Tanzania wapo busy na CCM,hawana habari kuwa syllabus zinafundisha watoto wao ushoga huko mashuleni๐๐๐๐
View attachment 2485772
Kongole kwako mkuu. Sasa hoja inakuja hivi; Kwa distance ambayo tumeshakwenda, kugeuza na kuanza kurudi tulikotoka ni mbali na ni gharama kubwa na halafu hatuko wamoja(hatuja simama pamoja) Kila mmoja anaimba wimbo wake.Ile methali ya mtaka cha uvunguni sharti ainame tumeisahau?
Na kuna wakati mchonga alituonya kuwa wale wanaosema kule nje kuna hela nyingi, siku mkiletewa hela ya wauza bangi mtafanyaje?
Kimsingi, maadili ya magharibi yamemomonyoka sana na washaamua kuleta hilo zahma dunia nzima.
Historia inaonesha shule nyingi hapa Tanganyika na wakati wa Deusche Ostafrika zilimilikiwa na mashirika na dini hasa Anglican, Lutheran na Catholics. Moja ya msingi wa Imani ni kutii amri 10 za Mungu na kufuata biblia kama msaafu kimaadili hasa kwenye kuzuia uzinzi na uasherati.
Baada ya Uhuru kupatikana, JKN na waliofuatia walibaki wakiamini sheria za kuzuia uasherati na wenye mimba walifurushwa shule.
Misaada imetufanya 'tuiname' na sasa kama wenye mimba wanaruhisiwa kusoma na ruksa kurejea baada ya kujifungua, msingi wake, sheria ya kuzuia uasherati mashuleni sioni kama inasimama tena.
Ngamia huanza kuongoza kwato, baadae miguu, baadae kichwa, baadae mwili mzima na kajumba huwa kanajiangukia.
Tukifanya tathmini, sijui ngamia Yuko stage gani kwenye kutaka kuzama ndani ya nyumba yetu.
Profesa Mkenda 'anakomaa' ila wale wanaotoa budget support wizara ya Elimu kama wataona anazuia 'koneksheni' je atabaki kazini?
Kama alivyowahi kugoma kusaini kutoa vibali vya sukari kinyume na utaratibu, je, wazeiya wakimwaga pichi na kushinikiza mitaala ipitiwe upya ili masuala ya 'upinde wa mvua' kuwa sehemu ya mafunzo, na sio lazima kuona kuna he na she ila tukaaminishwa wanadamu ni zaidi ya he na she, je, prof ataweza kusimama kama Qatar kuzuia mafuriko ya mmomonyoko wa maadili bila support ya toka juu.
Wakati huzungumza na kufichua mengi yaliyositirika.
Mchana mwema!
Fainali juu ya upuuzi huo inachezwa AFRICA, na TANZANIA ndo main ground.Wazazi wa Tanzania wapo busy na CCM,hawana habari kuwa syllabus zinafundisha watoto wao ushoga huko mashuleni๐๐๐๐
View attachment 2485772
Kinafundishwa Marekani na Nchi nyingi Ulaya.Una uhakika hiki kimeanza kufundishwa mkuu?
Shule zipi hizo?
Tuanze kujitegemea kwa kiongozi yupi na mipango ipi?.Kinafundishwa Marekani na Nchi nyingi Ulaya.
Na aliyewaaminisha wanawake kuwa Kuna SURUALI za kike alijua tutafika huko.
Kwa jinsi Serikali inavyotegemea mikopo ni ngumu kukataa Masharti hayo,
mabadiliko kiuongozi lazima yatokee kukabiliana na Hali hiyo.
Tuanze kujitegemea.
Sasa hivi wanahamasishana kujiunga kuwa machawaWazazi wa Tanzania wapo busy na CCM,hawana habari kuwa syllabus zinafundisha watoto wao ushoga huko mashuleni๐๐๐๐
View attachment 2485772
AJAYE atawezeshwa kuyatimiza hayo. AamenTuanze kujitegemea kwa kiongozi yupi na mipango ipi?.
Tunapaswa kujitambua kabla ya yote