Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

Watu wakiambiwa wapige kura kuchagua kati ya kuchakatana na kunywa bia. Mm nitakuwa mmoja wa watu watakao chagua kuchakatana na tutapata ushindi mkubwa sana.

Aliyesema bia tamu akafanye utafiti upya.

Ndiyo maana hata bia ikikolea inamsukuma mtumiaji aende kuchakatana, hii inamaanisha kwamba bia yenyewe inajua kuna vitu vitamu zaidi yake

Usifanye utani na kuchakatana.

View attachment 2031734
VIJANA jadilini DP WORLD achaneni na connection ya TESSY CHOCOLATE, walio ona wanasema mengi lakini nakushaurini achaneni na watu waliochoka maisha.

Video yake imetudhalilisha sana wanwake na ukizingatia ipo tweeter nje nje na watoto wa sekondari na chuo wapo likizo yaani watu wanatumiana tu .
Tujenge nchi na sisi wanawake tusikubali sasa, tunapambana na sijui 50 kwa 50 ambazo hazisaidii kitu.
 
Back
Top Bottom