Unasema Steve Nyerere ana kimbelembele? Hujakutana na Mwijaku wewe

Aliwadanganya alisoma mzumbe BPA 2006 na navyijua mm mwaka wa Pili alidisco labda baada ya hapo alienda UD
Mkuu acha kutunga, Kuna interview yake alikua anahojiwa na mdada, amesema amesoma UDSM (PA) sasa wewe unasema mzumbe, sijiu tumuamini wewe au yeye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Sasa ni mshauri wa mahusiano
 
Kama hajasema hakupita mzumbe takenthat as fake ,sisi tunamjua tumesoma nae japo nilimuacha mwaka mmoja au miwli ,alikua maarufu kwa uinga ,mzumbe kulikua na kitu kinaitwa kata kiu na kulikua na studio za kuongelea ikifatiwa na panch
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni cha hajabu hapo, ni mwanamme wa Dar huyo. Hapa ataropoka kisha anaenda mtaa wa pili kuvaa gagulo na kupakatwa.
 
Aliniacha hoi aliposema diamond akimuoa tanasha yeye atakunya Kuanzia sijui wapi hadi kariakoo.
Olio? Huyo Mwijaku ana kihere here hatari sana sijawai ona hahaha
 
Huyu mshkaji tulikuwa tunakunywa nae sana kb pub tegeta alikuwa anamgonga kaunta flani pale siku hz naona kaondoka. Yule kaunta akifunga anaenda nae kibo then anaenda kumgonga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sasa ulijuaje kama uyo kaunta akifunga anaenda kibo ķwa jamaa kumgonga? Au uliküa unamfuatilia nyuma nyuma?
 
Ni Nani huyu?! Mbona yuko local hivi. Mwanaume mzima kukaa kufuatilia maisha ya watu inatia shaka kidogo kama kichwani zipo sawa
 
Mkuu acha kutunga, Kuna interview yake alikua anahojiwa na mdada, amesema amesoma UDSM (PA) sasa wewe unasema mzumbe, sijiu tumuamini wewe au yeye
Huyo sidhani hata kama shule ameenda!? Nimeangalia clip moja hapo juu, He talks like a layman hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…