Aliwadanganya alisoma mzumbe BPA 2006 na navyijua mm mwaka wa Pili alidisco labda baada ya hapo alienda UD
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kutunga, Kuna interview yake alikua anahojiwa na mdada, amesema amesoma UDSM (PA) sasa wewe unasema mzumbe, sijiu tumuamini wewe au yeye
Sent using Jamii Forums mobile app