Unasema Steve Nyerere ana kimbelembele? Hujakutana na Mwijaku wewe

Unasema Steve Nyerere ana kimbelembele? Hujakutana na Mwijaku wewe

Baada ya vita kali ya kumkataa mnafiki namba moja ambae kimsingi sio msanii wala hana kipaji chochote ila ni mtoto wa mjini anaejua kucheza na nyakati huku hapepesi macho bwana Steve Nyerere ,Hatimaye mdomo umemkatika ,Wakwanza kumuumbua alikuwa mama wema baada ya kuanika maongezi yao ya faragha yaliyohakikisha kwamba kumbe jamaa hutumia ukaribu wake na wanasiasa kufanikisha mambo.

Kiumbuko kilicho mmaliza ni kile cha kuwa mbele kwenye misiba huku wasanii wenzie wakimtuhumu kuwa ana maslahi ya kifedha baada ya hili bomu jamaa amekuwa mkimya na kimbelembele kimekata.

Lakini sasa tunalo! Ameibuka jamaa anaitwa Mwijaku ,ok wengi hamumjui picha hii:

View attachment 999919

Hichi kijamaa sas hivi ndo amekuwa Mr Right asione jambo lina trend mjini basi ataita media na kutoa maoni yake kama vile yeye ndo gold standard ya kila kitu ,yaani kama kajipa uongozi hivi (Nyerere flani amaizing ) Nisikuhshe ingia youtube andika jina lake li search kila crip itakuboa .
mfano







kwani mc pilipili hii ndo id yako
 
Huyuu jamaa anaitwa Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku,alisoma Mzumbe University, kwa waliosoma Mzumbe kipindi chake hawezi kumshangaa,ndio tabia zake hizo!
Baba yake tunaishi nae Jirani pale morogoro karibu na chuo cha kiislamu, ni msomi mzuri Wa elimu ya dini baba yk,
 
Upo sawa kabisa dada,nakumbuka hata wakati anasoma Mzumbe alikua akiishi Morogoro
Baba yk anaitwa ustaz barton, amejenga nyumba inatazamana na chuo cha kiislamu pale morogoro, ni majirani zetu, wamejenga pale miaka ya 1994 , Kwa kifupi ni majirani zetu pale morogoro, baba yake ni mwalimu wa elimu ya dini aswa, nimesikia sasaivi yupo vizuri kiuchumi huyo kijana, sijui Kweli, maana ni muda sijamuona uso kwa uso, ila namjua ananijua, tumekua wote.. ....huyo tangu udogo Wake ni mcharuko, ila wamekulia kimaadili aswa, baba yao anaheshimika pale
 
Jamaa ana kiherehere kweli wala sio uwongo.
Kuna kipindi chao cha mahusiano kama sikosei jina kilikua kinarushwa clouds kipindi flani sijui bado kipo, kama maigizo mafupi fupi. Ndio nilianza kumfahamu hapo
Ila ni muigizaji mzuri sana, kile kipindi kilikuwa konki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya vita kali ya kumkataa mnafiki namba moja ambae kimsingi sio msanii wala hana kipaji chochote ila ni mtoto wa mjini anaejua kucheza na nyakati huku hapepesi macho bwana Steve Nyerere ,Hatimaye mdomo umemkatika ,Wakwanza kumuumbua alikuwa mama wema baada ya kuanika maongezi yao ya faragha yaliyohakikisha kwamba kumbe jamaa hutumia ukaribu wake na wanasiasa kufanikisha mambo.

Kiumbuko kilicho mmaliza ni kile cha kuwa mbele kwenye misiba huku wasanii wenzie wakimtuhumu kuwa ana maslahi ya kifedha baada ya hili bomu jamaa amekuwa mkimya na kimbelembele kimekata.

Lakini sasa tunalo! Ameibuka jamaa anaitwa Mwijaku ,ok wengi hamumjui picha hii:

View attachment 999919

Hichi kijamaa sas hivi ndo amekuwa Mr Right asione jambo lina trend mjini basi ataita media na kutoa maoni yake kama vile yeye ndo gold standard ya kila kitu ,yaani kama kajipa uongozi hivi (Nyerere flani amaizing ) Nisikuhshe ingia youtube andika jina lake li search kila crip itakuboa .
mfano






Huyuu jamaa anaitwa Burton Mwemba maarufu kama Mwijaku,alisoma Mzumbe University, kwa waliosoma Mzumbe kipindi chake hawezi kumshangaa,ndio tabia zake hizo!
Yaaa ni tabia zake alipita mzumbe 2006 flan ndo akaingia,ila kujionesha kujiona right ndiko kulimgharimu kwenye matokeo lakin tania zake ndo katoboa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom