Unashauri 2025 Mbunge wa jimbo gani ajizuie kugombea tena kiti hicho kuepuka fedheha ya kushindwa?

Babu tale na kalogeresi morogoro vijijini imewashinda barabara ya bigwa kisaki watu wanakaa siku tatu njiani wakati ni km 150 tu?
KM 150 si mchezo mkuu achilia mbali kwa lami, hat kwa changarawe tu,
lakini mipango wanayo, na naona wanaisemea sana barabara hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…