Unashauri 2025 Mbunge wa jimbo gani ajizuie kugombea tena kiti hicho kuepuka fedheha ya kushindwa?

Unashauri 2025 Mbunge wa jimbo gani ajizuie kugombea tena kiti hicho kuepuka fedheha ya kushindwa?

Yule bwana aliyegombaniaga Kigamboni na Ndugu Paul Makonda, kipindi cha mwendazake na yeye ajiandae 😀
ametaftiwa kazi ingine kwa mashirika ya kimataifa, ni mstaarabu sana anajua kusoma alama za nyakati vizuri:DisGonBGud:
 
Japo wabunge wengi wametekeleza vizuri sana wajibu, kazi na majukumu yao hasa ya kitaifa kupitia bunge, kwa weledi na umahiri mkubwa, lakini kutokana na hali halisi huko majimboni kwao inaonekana hawatakua na nafasi nzuri na ya uhakika kuchaguliwa tena katika awamu nyingine kwenye uchaguzi ujao....

Hii ni kuanzia kwenye mchujo wa vyama. Na hii ni kutokana na sababu mbalimbali, mathalani kutokuonekana jimboni kwa kipindi kirefu, kutokuonekana katika vikao vya bunge kuishauri, kupendekeza jambo au kuikosoa serikali, kutokuchangia chochote kwa maandishi au kuzungumza bungeni kwa niaba ya wananchi wake, kutokuonekana katika shughuli za kijamii kama vile misiba, mahafali, sherehe, dua na maombi jimboni, kutokushiriki shughuli za maendeleo, kutokuhudhuria vikao baraza la madiwani, wala kuitisha mikutano ya hadhara jimboni, kuzungumza na wananchi kuhusu uelekeo wa maendeleo ya jimbo na sababu nyingine za kiutendaji sisizo za kibinafsi, na kwahivyo mbunge hoyo awe na hekima na utulivu, pension yake aitumie vizuri kujijenga kimaisha, kuliko kuwekeza kutetea kiti cha ubunge.

Ni vizuri kuzingatia kumshauri mbunge na mwanasiasa wa jimbo lako, itapendeza zaidi.

Ikiwa mwanasiasa huyo bado anafaa, usisite kumtia moyo na kumshauri maeneo ambayo, yafaa ayafanyie kazi zaidi na kwa nguvu zaidi :whatBlink:
Gwajima- Kawe
Mabula- Nyamagana
Taletale- Morogoro Vijijini
.................. - Bunda Vijijini hata Mbunge hajulikani ni nani.
Liz1- Chalinze.
Nape- Mtama
Mwigulu- Iramba Magharibi (Nadhani ndo Daktari mbumbumbu kuliko wote)
 
Ndugu mheshimiwa mpka sasa ivi bado hawajakutaja tu?🙄
 
Mrisho Gambo anaenda kung'olewa na Nabii Godbless Lema.
 
Mrisho Gambo kazi yake ni kugombana na kila kiongozi.
 
mbana anachapa kazi nzuri tu, wap kiongozi kachemka watu wa kawe?:DisGonBGud:
Wacha utani kwenye mambo serious. Huyo Gwajima labda amechapa kazi juu ya kiuno chako, maana ana kitu kama mkono wa boxer
 
Back
Top Bottom