jo5
JF-Expert Member
- Dec 15, 2022
- 894
- 1,381
Ongea vizuri na nesi anayekuogeshaKatika mademu zangu mpaka sasa hakuna aliyekuja kuniona. Nimeamini mademu siyo kitu kabisa labda uwe na mke uliyepewa na Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongea vizuri na nesi anayekuogeshaKatika mademu zangu mpaka sasa hakuna aliyekuja kuniona. Nimeamini mademu siyo kitu kabisa labda uwe na mke uliyepewa na Mungu
Nimekupenda kwa kweli.Upo hospital gani nikuletee matunda?
ukome...kutwa kuwananga wanawake...koma kbs uugue hadi mwaka mzimaa
Heshima kitu cha buree....member akijitoa tunampa siku 90 za kufikiria kwa kina maamuzi yake na kwa ndani ya hzo siku 90 tunampatia mafuta ya aina zote na sehemu tulivu ya kujipa raha🤣🤣akibaki na msimamo huo huo bas anarudisha kadi tunamtoa kwenye magroup ya raha tupu akafie mbele bladifavkyenkadi yako ya kataa ndoa unipe niichome moto 😂😂😂
Kuna wale wa kuangusha ndege wawili kwa jiwe moja,wanaandika happy valentine day hawataji jina.Wakuu habari.
Mimi na sheherekea valentine day nikiwa nimelazwa hospital baada ya kupata ajali hivi karibuni na sheherekea na madaktari na manesi huku wakinipa vinywaji vyangu vikiwa drip za kutosha pamoja na sindano zisizo hesabika.
Nimelala hapa kwenye kitanda cha hospital
Je, wewe unasheherekea ukiwa wapi?
Nb:mke ana thamani kubwa lazima nitaoa asee, mimi siyo wa kuogeshwa na nesi
AsantePole sana jamani. Mungu akuponye upesi
Asante mkuuPole sana Mkuu.
Asante sanaNishapaka majivu hapa misa ya asubuhi... Niko naendelea na mfungo.,
Ugua pole mkuu
Usiwe na hasira hupendezeiSi unajifanyaga kutunanga wanawake umeona umuhimu wetu?? Hapo ukipona mdomo mrefu nyenyee “Wanawake hawana cha kutu offer zaidi ya ngono” mxiewwww
Na inatakiwa uje utuombe msamaha na kadi yako ya kataa ndoa unipe niichome moto [emoji23][emoji23][emoji23]
Naumwa serious na nimelazwa niombeeni, nilipata ajaliUnadhani kuna mtu anaumwa kweli hapo...
Pole, maendeleo yako vipi??Usiwe na hasira hupendezei
Wewe niombee tuu maana hata kukaa na kuchuchumaa ni shida sana, nimekua wa kulala tuu kitandani, nimegeuka mtoto gafla na sikutegemea ipo siku nitakua hivi, nalishwa na mambo mengine kibao. Japo mdugu wameshafika ila najutia kukata kuoa. Yamkini mke wangu leo angelikua msaada mkubwa kwanguPole, maendeleo yako vipi??
Vipi hawajakupa nurse mwenye bambataa akuogeshe leo.?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukome...kutwa kuwananga wanawake...koma kbs uugue hadi mwaka mzimaa
kiaje bossWeka Akiba Ya Maneno Mkuu.
kiaje boss