True indeed. Mfundishe mtu namna ya kuvua samaki na siyo kumpa samakiWasaidie ramani ya vita wakapambane wenyewe hawatakusumbua tena mkuu.
Hili hawezi kufanya wengi wa watoa msaada hapa bongo wanatoa ili asifiwe au showoff kwa ndugu zake..Wasaidie ramani ya vita wakapambane wenyewe hawatakusumbua tena mkuu.
Kwenye kipato chako usisahau kupanga bajeti ya kusaidia ndugu, kwa kufanya hivyo roho haitakuwa ni yenye kulaumu.Hello JF...
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?
Ni kweli kila mmoja anataka yeye ndio awe mwamba , bila kujua ukizungukwa na ndugu maskini 9 wewe upo kwenye hatari ya kuwa wa 10 .Hili hawezi kufanya wengi wa watoa msaada hapa bongo wanatoa ili asifiwe au showoff kwa ndugu zake..
Naondoka na hiii... Muwe na Jumapil njemaKwenye kipato chako usisahau kupanga bajeti ya kusaidia ndugu, kwa kufanya hivyo roho haitakuwa ni yenye kulaumu.
Lakini hawa wanaosaidiwa na kubaki kulaumu pindi wasiposaidiwa, basi kuna shida miongoni mwao
Sure bro.True indeed. Mfundishe mtu namna ya kuvua samaki na siyo kumpa samaki
Hakuna mtu takayependa upate kama yeye. Muda wote anataka uwe chini yake. Kwenye siasa hali ni mbaya zaidi. Kila msaada unaandamna na ma-kamera na ma-shukrani utadhani ni Mungu anaabudiwa. Hawataki kabisa kuwezesha wananchi wajitegemee. Na mbaya zaidi siku hizi wanasiasa wameacha kabisa kupanga maendeleo ya wananchi na muda wote wanautumia kwenye kamera eti kusikiliza kero za wananchi ili wananchi wawe tegemezi kwao muda wote wa maisha yao kama mbwa na binadamu.Hili hawezi kufanya wengi wa watoa msaada hapa bongo wanatoa ili asifiwe au showoff kwa ndugu zake..
Hiyo ndiyo shida?Si unanyamaza tu.Ndiyo ukubwa huo.Usianzishe tena uzi wa modeli hii.You won't be a@Troublemaker anymore!Hello JF...
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?
Wengine hata ukiwaonesha njia wataendelea kukusumbua na hata kukushughulikia. Muuloze Pogba pamoja na Emanuel Adebayo watakuambia kuhusu kusaidia na kutaka kuinua ndugu.Ni kweli kila mmoja anataka yeye ndio awe mwamba , bila kujua ukizungukwa na ndugu maskini 9 wewe upo kwenye hatari ya kuwa wa 10 .
Ukimsaidia mtu mara moja huo ni msada, Ukimsaidia mara ya pili huo ni ufadhiri, Ukimsaidia mara ya tatu huo ni wajibu ulio jipa mwenyewe.Hello JF...
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?
Bado haujakua,ukiwa mkubwa utajua kuwa maneno ya masimango kuhusu wewe hayakupunguzii wala kukuongezea chochote.Hello JF...
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?