Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Hello JF...
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?
Wewe ni mtu muhangaikaji kama wengine hapa mjini.
Mtu anakulilia shida hasa ni nduguzo. Unamsaidiaga mara kwa mara pale unapokuwa nacho. Ila shida ni moja siku ukisema bana sina. Hapo mada inabadilika inaonekana ww una roho mbaya. Husaidiagi watu yaani inasahaulika kabisa kwamba unapokuwa nacho huwa unajitoa.
Hii hali inakatisha tamaa inafanya nianze kufikiria kama hata ambavyonajitoaga huwa haithaminiwi kuna haja gani ya kuwa natoa. Kwanza msaada si lazima. Japo hata napotoaga huwa sitarajii return yeyote ila why siku ukisema huna inakuwa tatizo?
Si ni afadhali kuacha kabisa.....?