Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nyimbo aina hii tafadhaliProject Pat - Chicken Heads
Boss sijakupata vizuri..ni swali umeniuliza??Ni nyimbo aina hii tafadhali
DMX lives on. Long live DMX.🙏🏼
Jamaa anaonekana aliteseka sana, drug addiction siyo mchezo, mpaka akaoverdose.DMX kama masikhara yaan
RIP
Mimi sikua najua yapi anapitia nakuja kuskia tu kafariki aisee ni huzuni yaani.Jamaa anaonekana aliteseka sana, drug addiction siyo mchezo, mpaka akaoverdose.
When music was real...siku hizi hamna kitu
Hahaa... Its real, these days, music have just became a joke, FAST FOOD MUSICIANS releasing the whole bunch, without realizing "quality over quantity."When music was real...siku hizi hamna kitu
Yeah jamaa alioverdose hardcore drugs, na hii inatokea kwa watu wenye addiction. Ukiwa na addiction, inachukua muda, getting the high off drugs you used to consume. Kwa hiyo jamaa alichanganya kwa sababu kwenye autopsy walikuta jamaa ametumia drug zaidi ya moja.Mimi sikua najua yapi anapitia nakuja kuskia tu kafariki aisee ni huzuni yaani.