Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

8F94EDE9-A5FB-4CA8-9420-11462C3D92B7.png
 
Mimi sikua najua yapi anapitia nakuja kuskia tu kafariki aisee ni huzuni yaani.
Yeah jamaa alioverdose hardcore drugs, na hii inatokea kwa watu wenye addiction. Ukiwa na addiction, inachukua muda, getting the high off drugs you used to consume. Kwa hiyo jamaa alichanganya kwa sababu kwenye autopsy walikuta jamaa ametumia drug zaidi ya moja.
 
Back
Top Bottom