Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

Yeah jamaa alioverdose hardcore drugs, na hii inatokea kwa watu wenye addiction. Ukiwa na addiction, inachukua muda, getting the high off drugs you used to consume. Kwa hiyo jamaa alichanganya kwa sababu kwenye autopsy walikuta jamaa ametumia drug zaidi ya moja.
Maskini...apumzike kwa amani.
 
Wakina Tekashi[emoji16][emoji16]
Yeah, hao ni mainstream, lakini ukienda kwenye underground scene, utakutana na raw rappers, ambao wanaweza wasije kuwa mainstream, lakini wakafanya kazi nzuri zaidi.

Music is accessible now, more than ever, kwa hiyo ukitaka muziki mzuri bado unaweza kupata. Ingawa you have to dig deep. Mimi naona maistream ndiyo mambo yamevurugika lakini bado kuna muziki mzuri sana, haswa kwa watu walio kwenye underground scene.
 
Yeah, hao ni mainstream, lakini ukienda kwenye underground scene, utakutana na raw rappers, ambao wanaweza wasije kuwa mainstream, lakini wakafanya kazi nzuri zaidi.

Music is accessible now, more than ever, kwa hiyo ukitaka muziki mzuri bado unaweza kupata. Ingawa you have to dig deep. Mimi naona maistream ndiyo mambo yamevurugika lakini bado kuna muziki mzuri sana, haswa kwa watu walio kwenye underground scene.
Yes upo sahihi..ila kwa mimi kipindi hiki inabidi nipekue sana ndio napata mziki mzuri tofaut na zamani
 
Yes upo sahihi..ila kwa mimi kipindi hiki inabidi nipekue sana ndio napata mziki mzuri tofaut na zamani
Ndiyo kwa sasa hivi inabidi utafute mziki mzuri, rappers wakali wapo wachache. Ingawa Youtube itakusaidia kupata muziki mzuri. Kwa sababu, unaposearch muziki ndiyo unapata suggestion za watu wengine zaidi.
 
IMG_7533.png
 
Back
Top Bottom