Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

πŸ˜‚ sawa sawa mkuu, nice night kaka
Aisee, braza jana nilipinga kwasababu mtu anapokuwa kwenye ile kitu anakuwa kwenye mgogoro mkubwa sana wa nafsi.
Utulivu unaotakiwa kufanikisha ile kazi siyo wa dunia hii, lakini sasa wewe ukawa eneo lililojaa najisi za kila namna....
 
Aisee, braza jana nilipinga kwasababu mtu anapokuwa kwenye ile kitu anakuwa kwenye mgogoro mkubwa sana wa nafsi.
Utulivu unaotakiwa kufanikisha ile kazi siyo wa dunia hii, lakini sasa wewe ukawa eneo lililojaa najisi za kila namna....
Najisi πŸ˜‚πŸ˜‚ daaahhhh bro kwa hiyo Mimi nina utu na utulivu kwa sababu ya najisi 😁😁, nimekosa cha kucomment
 
Najisi πŸ˜‚πŸ˜‚ daaahhhh bro kwa hiyo Mimi nina utu na utulivu kwa sababu ya najisi 😁😁, nimekosa cha kucomment
Hahaha, hujanielewa braza! Ukiwa unafanya yale maombi huwa ni ngumu kukaa sehemu yenye unajisi kama JF.
Unaweza ukawa vizuri ghafla ukakatisha kwenye mtaa wa kimasihara kule, na mambo yote yakaharibika....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…