Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Sasa mkuu mapadre wanakaa bar itakuwa kuvumilia hizi issue mtandaoni 😁.. Kingine kuepuka vitu ni sign ya udhaifu, unapambana navyo bila kuharibu misimamo binafsi hiyo ndio strength sasaHahaha, hujanielewa braza! Ukiwa unafanya yale maombi huwa ni ngumu kukaa sehemu yenye unajisi kama JF.
Unaweza ukawa vizuri ghafla ukakatisha kwenye mtaa wa kimasihara kule, na mambo yote yakaharibika....