Unasikilizaje shida mpya wakati hujatatua ambazo zipo tayari mezani kwako?

Unasikilizaje shida mpya wakati hujatatua ambazo zipo tayari mezani kwako?

Trump kuziita nchi zetu shit hole countries ni kutokana na upuuzi aliouona kwa watu wanaotuongoza. Changamoto za msingi zilizo wazi hazina majibu na bado unataka kusikiliza changamoto mpya. WTF.??!!! Kwenye mikutano yake ya hadhara alikataza wananchi wasiandike changamoto kwenye mambango then leo anatenga siku moja kila mwezi kusikiliza changamoto really???!!!! ok, BTW ameingia kwenye campaign mode na kusaka mvuto kutoka kwa wapiga kura wake.
 
Kero zipi nyingine anataka kusikiliza umeme kukatika ni kero maji kukatika ni kero jobless wengi mtaani ni kero Barabara ni kero wizi na ufisadi Wa serikali yake ni kero viongozi Wa serikali yake ni kero Bunge na spika wetu ni kero polisi wetu ni kero mwalifu kupewa uenezi ni kero
RAIS hakupaswa kusikiliza Kero za mtu mmoja mmoja hizo awaachie wasaidizi wake RAIS anapaswa asikilize KERO za KITAIFA ambazo hata mawaziri wake hawaziwezi
 
Kero zipi nyingine anataka kusikiliza umeme kukatika ni kero maji kukatika ni kero jobless wengi mtaani ni kero Barabara ni kero wizi na ufisadi Wa serikali yake ni kero viongozi Wa serikali yake ni kero Bunge na spika wetu ni kero polisi wetu ni kero mwalifu kupewa uenezi ni kero
Maza ni kipengele haswa
 
Kero zipi nyingine anataka kusikiliza umeme kukatika ni kero maji kukatika ni kero jobless wengi mtaani ni kero Barabara ni kero wizi na ufisadi Wa serikali yake ni kero viongozi Wa serikali yake ni kero Bunge na spika wetu ni kero polisi wetu ni kero mwalifu kupewa uenezi ni kero
Hiyo anayotaka kufanya sio kusikiliza kero, bali ni kutengeneza hadaa kuelekea uchaguzi. Hayo ni maandalizi ya wizi wa kura kisha wajifanye wamechaguliwa na wananchi kutokana na kusikiliza matatizo ya wananchi.
 
Lakini bado ni wazo zuri. Kero kama umeme na maji yapo tokea enzi tunapata uhuru, kuzimaliza kabisa sio ndani ya muda mfupi.

Tumpe nafasi kuona kile anaenda kufanya katika utaratibu wake huo mpya.
Serikali ni taasisi pana, yote yanawezekana ikiwa kuna mipango thabiti.
Ogopa matapeli. Urais ni taasisi, asiletewe hizo kero na hiyo inayoitwa taasisi Hadi aende yeye physically kusikiliza mtu mmoja mmoja! Hizo hadaa za miaka yote hustuki tu!
 
Lakini bado ni wazo zuri. Kero kama umeme na maji yapo tokea enzi tunapata uhuru, kuzimaliza kabisa sio ndani ya muda mfupi.

Tumpe nafasi kuona kile anaenda kufanya katika utaratibu wake huo mpya.
Serikali ni taasisi pana, yote yanawezekana ikiwa kuna mipango thabiti.
Aise! Naheshimu maoni yako lakini tambua tatizo la umeme lilikoma kipindi cha Jiwe. Licha ya madhaifu aliyokuwa nayo, suala la umeme aliliweza bhana. Sasahv maneno tu sijui mitambo imeharibika sasa umeme ulikuwa unawakaje kipindi hicho?
 
Back
Top Bottom