Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,208
- 2,767
Je? hujawahi kufika darasani, au umeishia darasa la saba, form four au form six, lakini unataka kuonekana kama wewe umefika hadi chuo. unataka kuwa na maarifa mengi na akili iliyonyumbulika. hii thread inakuhusu. fanya yafuatayo.
(i)(educationi for liberation, education is key of life) watu wengi waliomaliza chuo wamesahau kuikumbuka hiyo misemo, hakikisha wewe elimu hiyo uliyoipata inakutengenezea binu ya kujikwamua kimaisha, hata kama ni kwa kulima.
Fanya kuchakalika hata miaka miwili ukilima ukitafuta kiazio cha kufungua miradi endelevu ili uweze kijikwamua kimaisha au unaweza ukatafuta mbinu yeyote itakayo kupatia hela za kuendeshea miradi endelevu.
(ii)hakikisha unafanya biashara za kusafiri sehemu mbalimbali nchini na hata nje ya nchi kama inawezekana, hii itakusaidia kujua maeneo mbalimbali kujifunza tabia za watu tofouti, fanya hivyo hata miaka miwili kama inawezekana.
(iii)jitahidi sana kujifunza na kusoma english course, hii itakufanya kufanana kabisa na wasomi wa Tanzania.
Next page two.
(i)(educationi for liberation, education is key of life) watu wengi waliomaliza chuo wamesahau kuikumbuka hiyo misemo, hakikisha wewe elimu hiyo uliyoipata inakutengenezea binu ya kujikwamua kimaisha, hata kama ni kwa kulima.
Fanya kuchakalika hata miaka miwili ukilima ukitafuta kiazio cha kufungua miradi endelevu ili uweze kijikwamua kimaisha au unaweza ukatafuta mbinu yeyote itakayo kupatia hela za kuendeshea miradi endelevu.
(ii)hakikisha unafanya biashara za kusafiri sehemu mbalimbali nchini na hata nje ya nchi kama inawezekana, hii itakusaidia kujua maeneo mbalimbali kujifunza tabia za watu tofouti, fanya hivyo hata miaka miwili kama inawezekana.
(iii)jitahidi sana kujifunza na kusoma english course, hii itakufanya kufanana kabisa na wasomi wa Tanzania.
Next page two.