Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Safi, mimi nipo tayar tuwekeane hata pesa au tukutane mtu 3 mimi..wewe na mtu mwingine mimi nikanunue hiyo nayosema.
Kwa kuongezea tu kuwepo kwako kwenye field hakukupi kuzijua medics zote
Ok sawa haina Tatzo ila Jitahidi usizitumie whatever the Trade name is..

The Drug name is Called Sildenafil citrate..
Unaweza ukabadili jina uwezavyo ita Viagra, Ita vega ita enjoy ita vyovyote ila hiyo ndo chemical iliyopo kwenye hiyo Dawa..
 
Safi, mimi nipo tayar tuwekeane hata pesa au tukutane mtu 3 mimi..wewe na mtu mwingine mimi nikanunue hiyo nayosema.
Kwa kuongezea tu kuwepo kwako kwenye field hakukupi kuzijua medics zote
Kama unayo tuma hapa hata Box lake tu..
Maana kukutana ni vigumu sana..
 
Wewe
Ok sawa haina Tatzo ila Jitahidi usizitumie whatever the Trade name is..

The Drug name is Called Sildenafil citrate..
Unaweza ukabadili jina uwezavyo ita Viagra, Ita vega ita enjoy ita vyovyote ila hiyo ndo chemical iliyopo kwenye hiyo Dawa..
Unajaribu kutumia ki knowledge cha career yako kulazimisha yote yawe vile usemavyo, fine let's call them" Sildenafil citrate" which is right then go and ask for the name pills as you call it kama utapata hii nisemayo mimi
 
KWahiyo bila dawa hakuna kitu, so sad.
Mara nyingi wanaume wote wapo sawa na hakunaga tatizo la nguvu za kiume, labda kwa wale wachache ambao kweli kuna case flani zimewafanya kupata maladhi au vitu flani.
Tatizo ni mtindo mbovu wa kula na kichwani mtu anakaa kwa wasi wasi na kujihisi ana dosari at the result anashindwa ku perform vizuri.
Ila wengine wanatumia hiyo ku bust ili iwe full uhakika
 
Yes tatizo lishe.
Sasa mkishazoea hayo madawa mnaharibu figo zenu baadae dailysis itawahusu sana
 
Yes tatizo lishe.
Sasa mkishazoea hayo madawa mnaharibu figo zenu baadae dailysis itawahusu sana
Nikweli ndiomaana hata mimi nimeshauri mtu asipendelee kutumia akitumia atumia incase kuna umuhimu kweli kweli wa kuwakilisha taifa
 
Mapambano Ya Kuisugua Papuchi Hayajawahi Kuacha Mtu Salama.

Ni Vyema Kuepuka Matumizi Ya Dawa Ila Jenga Mwili Ulio Bora Kwa Kuzingatia Tiba Lishe & Mazoezi.
 


SIKU MBILI MFULULIZO ... MAEEEE VIJANA MUTAKUFA MUMECHOKA SANA
 
Boss hii yako ndio naisikia leo
Dawa ni Saheal

Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate

Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.

Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36

Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.

Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge

Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge

Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
 
Hakuna Dawa Katika kundi hilo yenye maandishi uliyotaja Am in Med.Field Mkuu..
Am not talking from layman POV

Sildenafil citrate ni VIAGRA jina tu ndiyo limebadilika pole sana mkuu umetumia viagra pole sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Delivery Unafanya?


kama kimoja hiyo NJOI, njoi kina kaa kimoja na chenyewe rang ya bluu mpauko,

Kama unayo tuma hapa hata Box lake tu..
Maana kukutana ni vigumu sana..
Dawa ni Saheal

Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate

Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.

Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36

Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.

Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge

Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge

Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
 
Ok sawa haina Tatzo ila Jitahidi usizitumie whatever the Trade name is..

The Drug name is Called Sildenafil citrate..
Unaweza ukabadili jina uwezavyo ita Viagra, Ita vega ita enjoy ita vyovyote ila hiyo ndo chemical iliyopo kwenye hiyo Dawa..
mwamba ana vina saba vya geto kuishiwa unga na mkaa so anaona short of money
 
Umemalza kila kitu bro. Erecto 50 na 100 ndio pekee nilikuwa nazijua
 
Na wenye tatizo kubwa zaidi wanashauriwa kutumia Tadalafil kidonge kimoja kwa siku
 
Usishindane na kitu kila mwezi kinatoa damu, piga mzigo utakapoishia vaa suruali haraka kaendelee na majukumu ya kujenga taifa.Kila mbuzi itakula kwa urefu wa kamba yake, usi force.

Hizo dawa zina boost blood pressure utakufa siku si zako.
Fact
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…