Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

I have nothing to lose...nothing to gain as well so lets forget it
Unataka kulisha watu madawa wanayouza kwenye network marketing. Maana hamkawii nyie wapuuzi. Ndiyo mnavyoanza unaweza kuta unataka wauzia watu Gingseng zako za Bf Suma.
 
Hata usipotaja uzuri mimi ni mdadisi wa vitu vingi. Hio dawa ni "SILDENAFIL" ni kama viagra tu ilioko re branded na inauzwa hivyo Marekani na sehemu zingine za dunia. Heri mkongo kuliko hio midawa ya pressure
 
Sasa mzee Kwan unauza ngada au?
Biashara ni matangazo na tangazo halikamiliki bila kuweka mawasiliano.

Hayo mambo ya kufuatana vifichoni ndio watu wanakuona tapeli.

Wewe weka gamba hapa, bei na mawasiliano.
Kwanza hata kuelezea haya nimeanza kufeel guilty maana ni kama nimewapa mbinu vijana kusaka mbususu na kuzisimamia
Its like nime promote
 
Siku mbili mfululizo na mwanamke huyohuyo au utakuwa unabadilisha badilisha
Halafu end result ni nini mkuu?
Hiyo siku mbili haimaanishi mmegandana tuu jasho zinawatoka mmelaliana muda wote 48hrs mostly like ngumi za ulingoni kuna round 1..2..3..... na kati kati muda wa mapumzika wanakunywa maji na kukandwa right?
 
Majina ya hayo madawa ni haya hapa kama ifuatavyo
The four main medicines taken by mouth for erectile dysfunction are:
  • Avanafil (Stendra).
  • Sildenafil (Viagra).
  • Tadalafil (Cialis).
  • Vardenafil.

How oral medicines differ​


Each oral medicine for ED has a slightly different chemical makeup. These small differences affect the way each medication works, such as how quickly it takes effect and wears off, and the possible side effects. Your doctor or other health care professional can recommend one for you based on these factors, other health conditions you have and any other medicines you take.


  • Sildenafil (Viagra). This medicine works best when you take it on an empty stomach an hour before sex. The body takes longer to absorb it after a high-fat meal or alcohol. Its effects often last for 4 to 5 hours. It might work longer if you have mild to moderate erectile dysfunction.
  • Vardenafil. This medicine also works best when you take it an hour before sex on an empty stomach. As with sildenafil, a high-fat meal or alcohol keep the body from absorbing it as quickly.
    Vardenafil usually works for 4 to 5 hours. Its effects might last longer if you have mild to moderate ED. A newer form of the medicine that dissolves on the tongue might work faster than the pill that you swallow.
  • Tadalafil (Cialis). This medication is taken with or without food an hour before sex. It works for up to 36 hours. You can take it in a small dose daily or in a larger dose as needed.
  • Avanafil (Stendra). You can take this medicine with or without food 30 minutes before sex, depending on the dose. It lasts 4 to 5 hours, or longer if you have mild to moderate ED.
These medicines all work well for ED. When choosing one, tell your doctor or other health care professional what your preferences are, such as cost, ease of use, how long the drug's effects last and side effects. Generic versions of sildenafil, vardenafil and tadalafil are available.

Haya kila kitu kipo wazi hapo, soma kidhungu uelewe nenda kanunue kama una hitaji. Inayo kaa muda mrefu ni hyio Tadalafil kwa muda wa masaa 36 ipo mwilini ina zunguka tuu kwenye damu. Kila la heri wajuba
Utaua watu kwa maelezo yako ya copy and paste shauri yako.
 
Inaweza kuwa na majina tofauti but generic name yake ni hiyo hiyo ya sildenafil citrate. Acha janja janja
Utakua mtu wa ajabu sana uulizwe timu ya Taifa inaundwa na watu gani ukasema Homo Sapiens. Badala ya kutaja Samata na wengineo.
Hata ukienda duka la ngua husemi bataka suruali tu una sema nataka jeans...kadeti..kitambaa..za mazoez ivyo yani unapewa ulichokusudia
 
Namuonaga mwanangu mmoja anavohangaika mara na Asali sijui kutoka wapi ananiambia hiyo ni maalum kwa ajili ya kula mzigo tu unalamba kidogo tu, mara power boost sijui unakunywaje basi huwa namuangaliaaaaa najisemea tu hiiiiiiii!

Wewe unataka ukamridhishe mtu kichwani anadaiwa rejesho la Brac, ana Asa, alhamis kikoba alishakopa anachechemea kurudisha pesa za wana kikundi, hapo anataka akasuke na pesa hana, anataka abadili kucha, bado ana shughuli 3 anazotakiwa kwenda kutunza.


Oyaa, ukipata nyuchi jitombee maliza vaa sepa.
 
Namuonaga mwanangu mmoja anavohangaika mara na Asali sijui kutoka wapi ananiambia hiyo ni maalum kwa ajili ya kula mzigo tu unalamba kidogo tu, mara power boost sijui unakunywaje basi huwa namuangaliaaaaa najisemea tu hiiiiiiii!

Wewe unataka ukamridhishe mtu kichwani anadaiwa rejesho la Brac, ana Asa, alhamis kikoba alishakopa anachechemea kurudisha pesa za wana kikundi, hapo anataka akasuke na pesa hana, anataka abadili kucha, bado ana shughuli 3 anazotakiwa kwenda kutunza.


Oyaa, ukipata nyuchi jitombee maliza vaa sepa.
Hahaha..na ukitaka kuacha alama
 
Back
Top Bottom