Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Nyie si mnataka shoo shoo na vijana hawawezi acha wabugie njugu kuwa sugua huku wanajiua kidogo kidogo baadae mje kwetu wazee wa orgKWahiyo bila dawa hakuna kitu, so sad.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie si mnataka shoo shoo na vijana hawawezi acha wabugie njugu kuwa sugua huku wanajiua kidogo kidogo baadae mje kwetu wazee wa orgKWahiyo bila dawa hakuna kitu, so sad.
Mimi na nani?Nyie si mnataka shoo shoo na vijana hawawezi acha wabugie njugu kuwa sugua huku wanajiua kidogo kidogo baadae mje kwetu wazee wa org
Mimi na nani?
Demi eti wewe unaamin ipo au uzi sio wa kweli?Mimi na nani?
Wee.. emu nitembelee inbox kwanza haha🤣🤣🤣 Na mi namshangaa wkt mi kigoli chuchu saa Sita jamani
Kuna mdada mumewe alikuwa anatumia vumbi, sasa mdada akaleta kesi kijiwe nongwa….. makungwi wakampa na yeye ya kumkomesha wakampa vumbi la kike..!!!
Alivyorudi kampakia mumewe weeeh!! Huyo mwanaume alikoma, pamoja na vumbi lake hakuchukua dk 2 wazungu hao 😂😂😂
Akaenda kumuwashia moto aliyemuuzia kampa vumbi lime expire asijue mkewe naye kampakia vumbi la kikeni 🤣🤣🤣
Hii si mara ya kwanza kusikia hilo, sasa mnapaka vitu ili mwanaume akojoe haraka kwasababu gani?Kuna mdada mumewe alikuwa anatumia vumbi, sasa mdada akaleta kesi kijiwe nongwa….. makungwi wakampa na yeye ya kumkomesha wakampa vumbi la kike..!!!
Alivyorudi kampakia mumewe weeeh!! Huyo mwanaume alikoma, pamoja na vumbi lake hakuchukua dk 2 wazungu hao 😂😂😂
Akaenda kumuwashia moto aliyemuuzia kampa vumbi lime expire asijue mkewe naye kampakia vumbi la kikeni 🤣🤣🤣
Mi sijui maana sio daktari.Demi eti wewe unaamin ipo au uzi sio wa kweli?
S#he#l😂😂😂😂😂Umesema vyema ila katika kundi hilo la jamii ya Dawa hii uliyotaja mimi naijua nyingine kwa jina lingine sio hili lako
Mzee kwa iyo hii inakusaidia Hamasaki kwa muda ukihitaji tendo tu kwa hayo masaa uliosema after that tatizo linabakia pale pale I mean haitibu tatizo permanentlyDawa ni Saheal
Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate
Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.
Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36
Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.
Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge
Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge
Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
Huwez pona tatizo kwa Dawa hizoMzee kwa iyo hii inakusaidia Hamasaki kwa muda ukihitaji tendo tu kwa hayo masaa uliosema after that tatizo linabakia pale pale I mean haitibu tatizo permanently
Umekataa watu wasitumie Viagra, vumbi la Kongo, lakini bado unaongelea Viagra. Kwa taarifa tu ni kwamba Sildenafil ndio hizo hizo Viagra tofauti ipo kwenye grams tu.Hivyo vidonge Pharmacy zote kubwa wanavyo vinakua vya 5g, 10g na 15g
Jina lake linaanzia na herufi " S " na kuishia na " L "
maduka mengi huuza Tsh elfu 8- 10,000/= kulingana na ulipo.
Iki uliwahi kuvisikia nikweli hivyo ni habari nyingine.
kumbeUmekataa watu wasitumie Viagra, vumbi la Kongo, lakini bado unaongelea Viagra. Kwa taarifa tu ni kwamba Sildenafil ndio hizo hizo Viagra tofauti ipo kwenye grams tu.
Sildenafil na Viagra kimsingi ni kitu kimoja. Viagra ni jina la kibiashara la dawa ya Sildenafil, ambayo ni kiambato hai katika dawa hiyo. Kampuni inayozalisha Viagra ndiyo iliyoanzisha jina hilo kama chapa. Kuna pia dawa nyingine za Sildenafil ambazo zinapatikana kwa majina tofauti au kama generics (dawa zisizo na chapa maarufu).kumbe