Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Kuna mdada mumewe alikuwa anatumia vumbi, sasa mdada akaleta kesi kijiwe nongwa….. makungwi wakampa na yeye ya kumkomesha wakampa vumbi la kike..!!!
Alivyorudi kampakia mumewe weeeh!! Huyo mwanaume alikoma, pamoja na vumbi lake hakuchukua dk 2 wazungu hao 😂😂😂
Akaenda kumuwashia moto aliyemuuzia kampa vumbi lime expire asijue mkewe naye kampakia vumbi la kikeni 🤣🤣🤣

Kuna mdada mumewe alikuwa anatumia vumbi, sasa mdada akaleta kesi kijiwe nongwa….. makungwi wakampa na yeye ya kumkomesha wakampa vumbi la kike..!!!
Alivyorudi kampakia mumewe weeeh!! Huyo mwanaume alikoma, pamoja na vumbi lake hakuchukua dk 2 wazungu hao 😂😂😂
Akaenda kumuwashia moto aliyemuuzia kampa vumbi lime expire asijue mkewe naye kampakia vumbi la kikeni 🤣🤣🤣
Hii si mara ya kwanza kusikia hilo, sasa mnapaka vitu ili mwanaume akojoe haraka kwasababu gani?
 
Sijasoma hadi mwisho ila siku mbili mfululizo mwanamke si atachubuka jaman
 
Vumbi gudisha kaka dakika 10 ukisikia ti ti chomoa ingia mzigoni radha ile ile tatz wana mnaweka mavumbi saa zima masaa au nusu sa vumbi ni dakik 12 tu hao ni wenye nguvu tu ingia mzigoni show kama mamba faru dume
 
Baada ya kulala nae hizo siku mbili na hayo madawa yako. Mara kachepuka tena na muuza karanga😟 hiii??.

Hiyo hela ya kununulia hiyo dawa ni bora nikale mbuzi katoliki nitoke kitambi tusichoshane kabisa maisha yenyewe mafupi haya.
 
Dawa ni Saheal

Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate

Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.

Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36

Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.

Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge

Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge

Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
Mzee kwa iyo hii inakusaidia Hamasaki kwa muda ukihitaji tendo tu kwa hayo masaa uliosema after that tatizo linabakia pale pale I mean haitibu tatizo permanently
 
Mzee kwa iyo hii inakusaidia Hamasaki kwa muda ukihitaji tendo tu kwa hayo masaa uliosema after that tatizo linabakia pale pale I mean haitibu tatizo permanently
Huwez pona tatizo kwa Dawa hizo
 
Nmesoma comment zote page 1 ad 11 natafta jina linaloanzia na S na kuishia na L sjaona
Mleta mada umeikosea sana jamii kwann usitaje jina tu
 
Hivyo vidonge Pharmacy zote kubwa wanavyo vinakua vya 5g, 10g na 15g
Jina lake linaanzia na herufi " S " na kuishia na " L "
maduka mengi huuza Tsh elfu 8- 10,000/= kulingana na ulipo.
Iki uliwahi kuvisikia nikweli hivyo ni habari nyingine.
Umekataa watu wasitumie Viagra, vumbi la Kongo, lakini bado unaongelea Viagra. Kwa taarifa tu ni kwamba Sildenafil ndio hizo hizo Viagra tofauti ipo kwenye grams tu.
 
Sildenafil na Viagra kimsingi ni kitu kimoja. Viagra ni jina la kibiashara la dawa ya Sildenafil, ambayo ni kiambato hai katika dawa hiyo. Kampuni inayozalisha Viagra ndiyo iliyoanzisha jina hilo kama chapa. Kuna pia dawa nyingine za Sildenafil ambazo zinapatikana kwa majina tofauti au kama generics (dawa zisizo na chapa maarufu).

Kwa hiyo, kiufanisi, Sildenafil na Viagra vinafanya kazi sawa katika kuongeza nguvu za kiume kwa wanaume wenye tatizo la kutopata uume ulio simama. Ubora hautofautiani kati ya Sildenafil na Viagra, isipokuwa tofauti inaweza kuwa kwenye bei au jina la chapa, lakini si kwenye ufanisi wa dawa.
 
Back
Top Bottom