Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Unataka kula mzigo siku 2 mfululizo Askari bila kushusha zana? Dawa ya pharmacy ambayo wengi hawajaifahamu ipo

Wewe

Unajaribu kutumia ki knowledge cha career yako kulazimisha yote yawe vile usemavyo, fine let's call them" Sildenafil citrate" which is right then go and ask for the name pills as you call it kama utapata hii nisemayo mimi
OK.then leta dawa tuone Jina
 
Dawa ni Saheal

Saheal ni Tadalafil kama ilivyo kwa Viagra, Erecto n.k hizi wanaita Sildenafil Citrate

Tadalafil (Saheal) na Sildenafil (Viagra) zote zinafanya kazi moja ila zinatofautiana kwenye mda wa kukaa mwilini.

Sildenafil Citrate zinakaa masaa 4 - 8 while izo Tadalafil (Saheal) zinakaa kwa mda wa masaa 24 - 36

Kwa anaetaka matokeo ya haraka atumie Sildenafil ila kwa asie na uhakika na mda wa tendo anashauriwa kutumia Tadalafil (Saheal). Kumbuka dawa zote hizi zinafanya kazi sawa, zinatofautiana tu kwenye mda wa kukaa mwilini. Hivyo alietumia Saheal na alietumia Viagra au Erecto wote wako sawa tu na wote wanaeza experience negative effects sawa.

Upande wa bei, Sildenafil (Viagra, Erecto, Njoi, n.k) hizi zinauzwa 2,000 mpaka 3,500 kwa kidonge

Tadalafil (Saheal, Adcirca, Cialis) bei ni 8,000 mpaka 10,000 kwa kidonge

Namiliki pharmacy hivyo hizo dawa nazijua vizuri maana ndizo zinazotoka sana dukani
Safi wewe ndo umejibu kisomi Na info yako yote iko sahihi..
"You are well informed"

Nimefurahi na Kiukweli kabisa Tadalafil ni best kuliko sildenafil..
👏👏👏👏👏
 
Ila wanaume mnahangaika, hivi mnaweza kushindana na mlipotokea.?!
Mtakuja mfie vifuani kwa kutaka sifa za kijinga
 
Vijana mnajimaliza.. Mie mwenzenu nachomeka napiga tako 3 nakojoa, na naishi vizuri tu, sijaona mguu kupungua wala kichwa kunyonyoka nywele. 🤣😂

Kama huna nguvu huna tu, memgine mnajitafutia vifo vya aibu. 🤣
Watakupigia wife wenye shughuli yao 🤣🤣
 
Mbona kawaida sana mara moja kwa mwez kupata week ya mapumziko au vacation
Kitendo cha kutafuta dawa tu kinaonyesha kuwa mtu ana kasoro. Hivi dawa zinatumiwa na watu wenye afya njema? Halfu nikuambie: Mwanamke ili akukubali na kukupenda kwenye kufanya sex siyo muda unaotumia. Ni namna unavyom-handle. ´Lisaa limoja linaweza kumfanya mwanamke akupe ubingwa kwenye sex.
 
Ewaaaa kitu bamia,mix tangawizi ukinywa tu mambo motooo
Kuna mdada mumewe alikuwa anatumia vumbi, sasa mdada akaleta kesi kijiwe nongwa….. makungwi wakampa na yeye ya kumkomesha wakampa vumbi la kike..!!!
Alivyorudi kampakia mumewe weeeh!! Huyo mwanaume alikoma, pamoja na vumbi lake hakuchukua dk 2 wazungu hao 😂😂😂
Akaenda kumuwashia moto aliyemuuzia kampa vumbi lime expire asijue mkewe naye kampakia vumbi la kikeni 🤣🤣🤣
 
Safi wewe ndo umejibu kisomi Na info yako yote iko sahihi..
"You are well informed"

Nimefurahi na Kiukweli kabisa Tadalafil ni best kuliko sildenafil..
👏👏👏👏👏
Hahah..kwani wewe si ndio msomi uliesema upo kwa field hiyo muda, bado hujasema
 
Back
Top Bottom